Mwanamke ambaye ana kazi yake nzuri na elimu inakuwaje unaleta mwanaume zaidi ya mmoja sehemu uliyopanga?

Mwanamke ambaye ana kazi yake nzuri na elimu inakuwaje unaleta mwanaume zaidi ya mmoja sehemu uliyopanga?

Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Mkuu mambo yao waachie wenyewe
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Hili sio kwa waliosoma tu hata wale wasiosoma...pia hili sio kwa wanawake tu hata kwa wanaume
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Kwani Mtu akijilia vyake kuna shida gani mkuu?
 
Bajet ya jumbq za wagen kwa masaa 24 not less than 100,000

Wakt kwake unatenga 5000 boda na unampa 50,000/- yake anajazia kodi life goes on
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Sio kila mwanaume akiingia kwenye Chumba cha mwanamke n Mtu wake/Bwana wake
 
Back
Top Bottom