Mwanamke ambaye ana kazi yake nzuri na elimu inakuwaje unaleta mwanaume zaidi ya mmoja sehemu uliyopanga?

Mwanamke ambaye ana kazi yake nzuri na elimu inakuwaje unaleta mwanaume zaidi ya mmoja sehemu uliyopanga?

Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Kila mtu afanye anachotaka. Ndivyo alivyo usimpangie ili mradi havunji sheria za nchi. Ndio maana kila mtu ana kichwa chake na mataminio yake.

Kwa ufupi fanya yanayokuletea furaha, mwache yeye pia afurahie yake
 
Je mwanaume mwenye ghetto lake anaruhusiwa kupeleka wanawake zaidi ya mmoja hapo ghetto kwake?
Aruhusiwe na nani sasa. Mungu kakupa utashi huru..... Chagua mwenyewe ni ruksa. Sasa hivi wewe hapo ukichagua kuoa mnene ruksa, mwembamba ruksa. Hauhitaji ruhusa ya mtu
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Kwa mtizamo wako mwanamke asiyekuwa na kazi nzuri au elimu nzuri ndiye anaeingiza wanaume ndani au anafaa kuingiza wanaume wengi ndani kwake?
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Kwahiyo wewe unadhani elimu pamoja na kipato chake vinamuondolea sifa yake ya kuwa mwanamke?
 
Wasalam wakuu.

Bila kupoteza muda twende kwenye mada, wanawake hivi kwanini husichague mtu mmoja especially baba wa mtoto ndo awe anakuja home na sio kila mwanaume unamleta kwako kisa unajitegemea hailet picha nzuri.

Kama wewe ni malaya basi jitahid hao wengine mkutane huko nyumba za wageni sio kila mtu unamleta kwako, maadili, heshima viko wap jamani.

Wanawake jirekebisheni.
Je mwanaume mwenye ghetto lake anaruhusiwa kupeleka wanawake zaidi ya mmoja hapo ghetto kwake?
 
Back
Top Bottom