Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Dah jamaa unajua kuwakandia wanawake...kweli mie siwapendi wanawake ila wewe unasema kabisa sura kama fenesi😲😲😲Ni kweli wana vi filter vyao wanavipenda vinawafanya waonekane smooth na weupe. Ukikutana nae sasa, sura kama fenesi. Ukimuuliza imekuwaje utofauti wa picha na muonekano wa live, utasikia hiyo picha ilikuwa zamani kidogo sasa hvi kuna lotion haijanipenda. Kumbe toka kazaliwa ana sura ngumu kama remmy ongala.
Mimi huwa naomba video call sehemu yenye muwangaza. Huyo ndio msema kweli.
Sasa sie domo zege bila kutongoza mtandaoni utelezi tutapatajeMkome kutokutongoza mtandaoni
😂😂 mjombaaa dah.💃💃💃💃!!
Asante sana mjomba!!
Hili nalo neno mkuu. Wanaume tunatamani vile ambavyo vilishapendezeshwa tu. Nasi tuchukue majukumu ya kuvipendezesha ili tujisifieSasa si ndo umpemdezeshe awe Kama ulomuona kwenye picha? Wewe unataka ukute kapendezeshwa afu ndo umchukue?
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa 📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌!!Mkome kutokutongoza mtandaoni
ushawahi kutana na mtu ana chunusi kavu sura nzima, ukifanya mchezo ukajifanya romantic kupitisha mkono usoni unachubuka kiganja😂😂🤣🤣🤣🤣 Dah jamaa unajua kuwakandia wanawake...kweli mie siwapendi wanawake ila wewe unasema kabisa sura kama fenesi😲😲😲
ushawahi kutana na mtu ana chunusi kavu sura nzima, ukifanya mchezo ukajifanya romantic kupitisha mkono usoni unachubuka kiganja😂😂
zikiwa kavu zinapuputika, akiondoka lazima ukung'ute foronya kutoa magaga.🤣🤣🤣🤣🤣Chunisi sura nzimaa nyiee Nacheka kama mazuri uwiiiii!!!!
Watumia filter Leo tunaloo mbona!🤔
Wanawake hasa Hawa weusi hawajiamini wanatumia filter ili kuibia watu na kuwaachia majuto makubwa.
Hii imetokea Jana rafiki yangu kayakanyaga baada ya kumkimbia Mwanamke wake wa mtandaoni waliyekutana Facebook, hii imesababishwa na kakutana na sampuli mbili tofauti.
Hawa Wanawake weusi hawajitambui na hawana uhuru wa Fikra na hawajikubali na wanaingiza watu king sana.
This is stolen Generation
Vibaya hivo mkuu wengine ndio tumeumbwa hivoooo Chunusi hazituishi yani sa tufanyeje hapo Hebu tushauri kwanza!!zikiwa kavu zinapuputika, akiondoka lazima ukung'ute foronya kutoa magaga.
jikubalini kwa hali zenu. Mbona chunusi si maradhi ni maumbile tu. Ukianza ku edit na kutuma picha smooth hapa ushafanya ulaghai. Unanijengea taswira kuwa wewe ni smooth sasa ukija nikakutana na zege la uso lazima nishtuke, tofauti na ukituma sura halisi najua hasa cha kutarajia.Vibaya hivo mkuu wengine ndio tumeumbwa hivoooo Chunusi hazituishi yani sa tufanyeje hapo Hebu tushauri kwanza!!
Hahaha! Nyie watu mnamanenoushawahi kutana na mtu ana chunusi kavu sura nzima, ukifanya mchezo ukajifanya romantic kupitisha mkono usoni unachubuka kiganja😂😂