Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

jikubalini kwa hali zenu. Mbona chunusi si maradhi ni maumbile tu. Ukianza ku edit na kutuma picha smooth hapa ushafanya ulaghai. Unanijengea taswira kuwa wewe ni smooth sasa ukija nikakutana na zege la uso lazima nishtuke tofauti na ukituma sura halisi najua hasa cha kutarajia.

Mbona sisi hatuweki ndizi au matango kughushi uhalisia wa vibamia vyetu.

📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌

Kweli Kabisa kujikubali ndio mpango mzima!
 
Nyie mnaojua kutoa kasoro binadamu wenzenu Mara nyingi huwa ni wabaya kuanzia sura hadi umbo.
ondoa makasiriko ndugu. Chunusi si maradhi na punguza ku ji edit.

Maisha mafupi mno kuchukulia kila kitu serious dada yangu.

Mimi hakuna sehemu niliyosema ni mzuri ikizingatiwa mwanaume hajisifii uzuri.

43106a2b6530f478ea1d38be63eeaa83.jpeg

Picha yangu hiyo hapo no filter.
 
Ni kweli wana vi filter vyao wanavipenda vinawafanya waonekane smooth na weupe. Ukikutana nae sasa, sura kama fenesi. Ukimuuliza imekuwaje utofauti wa picha na muonekano wa live, utasikia hiyo picha ilikuwa zamani kidogo sasa hvi kuna lotion haijanipenda. Kumbe toka kazaliwa ana sura ngumu kama remmy ongala.

Mimi huwa naomba video call sehemu yenye muwangaza. Huyo ndio msema kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mna dhambiiii khaaaaah
 
ukiona demu kila mtandao wa kijamii anatumia profile picture moja tu ujue huyo ana sura ya baba na hiyo picha moja ndio katumia ufanisi wake wote wa ku edit. Miaka 3 mtoto wa kike DP hiyo hiyo whatsapp, facebook, instagram.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee Kaka jamani, khaaaaah
 
Ni kweli wana vi filter vyao wanavipenda vinawafanya waonekane smooth na weupe. Ukikutana nae sasa, sura kama fenesi. Ukimuuliza imekuwaje utofauti wa picha na muonekano wa live, utasikia hiyo picha ilikuwa zamani kidogo sasa hvi kuna lotion haijanipenda. Kumbe toka kazaliwa ana sura ngumu kama remmy ongala.

Mimi huwa naomba video call sehemu yenye muwangaza. Huyo ndio msema kweli.
Nyieee[emoji1787]roho mbaya tu mfyuu[emoji22]
 
Ila wanawake sisi waKiafrica hatujiamin hatupendi tulivyoumbwa,tunataman tungekuwa waarabu au wazungu,kujichubua ,mawigi na zile babyhair sasa[emoji23][emoji23] mtu anajiona mwarabu na ile mikope
Kwenye harusi wanavaa kihindi
Tamaduni zetu zipo wapi?zaman bib harusi walivaaje wa kiislamu sisi hatuna mavazi yetu mpaka tuvae ya kihindi
Sasa dear mavazi yetu si ni kaniki na rubega.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo tuvae hivyoooo.
 
Ni kweli wana vi filter vyao wanavipenda vinawafanya waonekane smooth na weupe. Ukikutana nae sasa, sura kama fenesi. Ukimuuliza imekuwaje utofauti wa picha na muonekano wa live, utasikia hiyo picha ilikuwa zamani kidogo sasa hvi kuna lotion haijanipenda. Kumbe toka kazaliwa ana sura ngumu kama remmy ongala.

Mimi huwa naomba video call sehemu yenye muwangaza. Huyo ndio msema kweli.

Uko sawa mwamba video call ndo solution
 
ushawahi kutana na mtu ana chunusi kavu sura nzima, ukifanya mchezo ukajifanya romantic kupitisha mkono usoni unachubuka kiganja[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaaa km mwehu hapaaa.
 
Sasa dear mavazi yetu si ni kaniki na rubega.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo tuvae hivyoooo.
Mbavu zanguuu hukuuuu nyieeee🤣!! Nani akubali kuonekana kiazi cherema thubutuuuu!☺️
 
Back
Top Bottom