The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi unipe nafasi tuongee vdo call kisha mimi nitaleta ushuhuda hapa kwa ambao hawataki kukuamini.Mimi ukinipigia video call umekwisha.
Kwenye video call naonekana mrembo zaidi hata ya kwenye picha.
Sijui ni camera ya simu yangu, sijui ni namna ninavyoposition camera...
Hadi watu wananiuliza natumiaga app gani kwenye video call.
Ikishakauka nikiingalia tu inawaka😀😀Wacha weeeh wataka kusema sura inaweza kausha mipunga shambani.
😃We si umejifunika uso wote na hatukuoni haikudhuru boss😂😂
😂😂ila hizi camera zinadanganya kichizi yan hapa kitaa kuna dem mweusi kama tairi ila huko insta ni mtoto wa kiarabu
Jichanganye upende rangi ya insta uone kama ukikutana nae utakubali ndo yeye
Wazuri mnapenda jikandiaIkishakauka nikiingalia tu inawaka😀😀
Afu kuna Mwamba hapo juu kasema sie wenye sura mbovu ndio tunaongoza kuwa na roho mbayaaa jamani watu wana manenoo!!!🙌🙌🙌Ikishakauka nikiingalia tu inawaka😀😀
ushawahi kutana na mtu ana chunusi kavu sura nzima, ukifanya mchezo ukajifanya romantic kupitisha mkono usoni unachubuka kiganja[emoji23][emoji23]
Hahahaha nipe namba nikupigie Video uone. Nina sehemu niki position camera hehehehe. Kauso kanaonekana ka baby face. Na wewe uhakikishe unakaa kwenye mtandao mzuri.Itabidi unipe nafasi tuongee vdo call kisha mimi nitaleta ushuhuda hapa kwa ambao hawataki kukuamini.
😎
Wanaume ndio mnasababisha...na wadada wenye akili mbili ndo wanaona bora wajichubue, wee njia nzima wakitembea wawili utasikia cheupuuu cheupeee, hakuna mtu ataita chusiii, akipata mwanamke mweupe utasikia mtoto anawaka rangi ya mtume. Yaan mbaka matako wanaofanya surgery ni kwa sababu ya wanaume,Wanawake hasa Hawa weusi hawajiamini wanatumia filter ili kuibia watu na kuwaachia majuto makubwa.
Hii imetokea Jana rafiki yangu kayakanyaga baada ya kumkimbia Mwanamke wake wa mtandaoni waliyekutana Facebook, hii imesababishwa na kakutana na sampuli mbili tofauti.
Hawa Wanawake weusi hawajitambui na hawana uhuru wa Fikra na hawajikubali na wanaingiza watu king sana.
This is stolen Generation
Nani anataka kuonekana mbaya? Filter muhimu😅
Anataka nisi-edit ili agundue nini?
Akhsanteeeeeeeeeee!!!!!Anataka nisi-edit ili agundue nini?
Mimi napenda mtu anione face to face. Haya ya picha, video call yote utapeli tu.
Huwa najiamini physically, kuliko picha na video.
The Icebreaker
[emoji1787][emoji1787]Mleta uzi umesema alikuwa mweusi kama chungu kipya na anakichwa kama koleo?!.Hata mimi ningekimbia aisee.
Wanatuonea sie wenye surangumu tunaroho nzuri sana jamani tunakosaje vyote sasaAfu kuna Mwamba hapo juu kasema sie wenye sura mbovu ndio tunaongoza kuwa na roho mbayaaa jamani watu wana manenoo!!!🙌🙌🙌
😀😀😀video call haina kupindisha, Tena ukitaka ufaidi vizuri awe kwenye jua kali ndio utaona mpaka tongo tongo.
Mara nyingi utasikia camera yangu mbovu, mademu wanaogopa video call na kupigwa picha na simu ya mtu mwingine.
Njoo basi nikusalimie kule.Anataka nisi-edit ili agundue nini?
Mimi napenda mtu anione face to face. Haya ya picha, video call yote utapeli tu.
Huwa najiamini physically, kuliko picha na video.
The Icebreaker
Eendiwoooooooo mkuu video sijui picha ni ubatili mtupu kutana na mtu face to face kwanza!umeunga mkono hoja?
😀