Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️ 😁😁😁!
Watu wamenipopoajee nahio wazo yangu🙌🙌🙌
"mwanamke shepu sijui matrak sura watajua wenyewe 😁😁😁
Pole aisee😆😆😆😆, mimi sina neno.
 
Mtu wa namna hii hata akijakuomba msaada humu atakosa,maaana wengine tuna tabia ya kukagua mafaili ya nyuma [emoji1][emoji1][emoji1],na kibaya zaidi post za humu hazifutiki zinaishi.Kuna mda watu wanatakiwa kudhamini utu wa mtu
Hata maoni tu sista[emoji23][emoji23][emoji23], mbona mmefika mbali[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu kwani wanawake walikufanya nini, maana comments zako [emoji23][emoji23][emoji23] zitawafanya wengine wakuchukie[emoji23][emoji23][emoji23]
Oh bro usilete utani ni bora uwachukie wanawake kuliko kiwapenda. Utakuja kulia vibaya mnoo ukiwapenda hawa warembo. Wee penda utelezi wao tuu. Utanishukuru baadae.
 
Oh bro usilete utani ni bora uwachukie wanawake kuliko kiwapenda. Utakuja kulia vibaya mnoo ukiwapenda hawa warembo. Wee penda utelezi wao tuu. Utanishukuru baadae.
😂😂😂😂 sasa ukisema niwachukie sinitabidi nichukie hadi dada na binamu zangu. Tuishi nao kiakili tu, mguu nje mguu ndani. Ila sasa ndio ishatokea😆😆😆, Mungu fundi ujue.
 
😂😂😂😂 sasa ukisema niwachukie sinitabidi nichukie hadi dada na binamu zangu. Tuishi nao kiakili tu, mguu nje mguu ndani. Ila sasa ndio ishatokea😆😆😆, Mungu fundi ujue.
Wewe ata mama yako na dada yake wachukie tuu sii wanawake ama mie ndio sielewe maana na mwanamke🤔🤔🤔
 
😀😀
😂😂😂😂 sasa ukisema niwachukie sinitabidi nichukie hadi dada na binamu zangu. Tuishi nao kiakili tu, mguu nje mguu ndani. Ila sasa ndio ishatokea😆😆😆, Mungu fundi ujue.
 
Wewe ata mama yako na dada yake wachukie tuu sii wanawake ama mie ndio sielewe maana na mwanamke🤔🤔🤔
😂😂 basi kuwachukia siwezi, ila akili kumkichwa tu ndio pona yangu. Ila sio siri mmewakandia mpaka basi😆😆😆
 
😂😂 basi kuwachukia siwezi, ila akili kumkichwa tu ndio pona yangu. Ila sio siri mmewakandia mpaka basi😆😆😆
Wee unawaonea huruma hawa...wao wanatuita wanaume suruali mara vibamia mara huna mnele wala nyuma kama mche wa sabuni. Hawa mie siwezi waonea huruma ng'ooo.
Ni kuwakandia tuu
 
Wee unawaonea huruma hawa...wao wanatuita wanaume suruali mara vibamia mara huna mnele wala nyuma kama mche wa sabuni. Hawa mie siwezi waonea huruma ng'ooo.
Ni kuwakandia tuu
Alafu wanaume wenye sura mbaya na hawana Hela ndio wanaoongoza Kwa maneno machafu Wana makasiriko balaa huu ni utafit wangu😀😀😀
 
Wee unawaonea huruma hawa...wao wanatuita wanaume suruali mara vibamia mara huna mnele wala nyuma kama mche wa sabuni. Hawa mie siwezi waonea huruma ng'ooo.
Ni kuwakandia tuu
😂😂😂😂 mwanaume mateso, tutafanyaje sasa. Dah! Kweli JF kuna chuki kati ya hawa watu😂😂😂😂
 
Mimi nilishajikubali Sina sura ya kuringia Wala chochote nipo nipo tu hayo hayaniumizagi na hata nikikimbiwa stend poa tu kwani nimejiumba 😀
Nakujua😂, ndio maana nikasema sikuwezagi. Waje wabobevu😂😂
 
Alafu wanaume wenye sura mbaya na hawana Hela ndio wanaoongoza Kwa maneno machafu Wana makasiriko balaa huu ni utafit wangu😀😀😀
Ni kweli usemalo. Mie mwenyewe nawakandia wanawake maana kwanza on a scale of 1-10 ya uhandasome mie nipo -3, hela ndio sina nitaachaje kuwakandia wanawake ili japo nijifariji maana mbususu zao sipati. Ni kweli mi makasiriko yangu kwa wanawake ni kwana am ugly and i dnt have money.
 
Back
Top Bottom