Mwanamke ana expire date

Mwanamke ana expire date

Mimeelewa kitu kimoja tu ambacho hicho ndo kinaukwel yan kuoa mwanamke aliyetumika sana mana nisawa na kununua gari imetembea KM za kutosha.
 
Subiri uje kuwa na mtoto wa kike Halafu apate mwanaume kama wewe anaetumia na kuacha kisha asiolewe mpaka miaka 30 ndio utaelewa maana ya ulichokiandika 😀.

Shame on you kuchukulia wanawake kama bidhaa including your mother and sisters. Mkeo atapata tabu sanaa
Huyu ni Bisexual au homo halafu aliokotwa jalalani alikotupwa na mama yake kichaa.
 
Subiri uje kuwa na mtoto wa kike Halafu apate mwanaume kama wewe anaetumia na kuacha kisha asiolewe mpaka miaka 30 ndio utaelewa maana ya ulichokiandika [emoji3].

Shame on you kuchukulia wanawake kama bidhaa including your mother and sisters. Mkeo atapata tabu sanaa
Ila ndo ukweli wenyew huo mzee mama
 
Nani anaweza ku prove kama siyo mapokeo ya kumnyanyasa mwanamke ya wa tu wa kale? The bible was written by human being siyo Mungu wala malaika.


Hahahaha!!! Sawa Mama
 
Subiri uje kuwa na mtoto wa kike Halafu apate mwanaume kama wewe anaetumia na kuacha kisha asiolewe mpaka miaka 30 ndio utaelewa maana ya ulichokiandika 😀.

Shame on you kuchukulia wanawake kama bidhaa including your mother and sisters. Mkeo atapata tabu sanaa


Hisia zako hazibadili ukweli. Mpaka sasa nina watoto wakike wawili hivyo haibadili ukweli
 
Subiri uje kuwa na mtoto wa kike Halafu apate mwanaume kama wewe anaetumia na kuacha kisha asiolewe mpaka miaka 30 ndio utaelewa maana ya ulichokiandika 😀.

Shame on you kuchukulia wanawake kama bidhaa including your mother and sisters. Mkeo atapata tabu sanaa
Amesha laaniwa kiumbe huyu walahi
 
Amesha laaniwa kiumbe huyu walahi


Mihemko haitakusaidia Mkuu. Ukweli ndio huo. Unachohangaika ni nini? Hakuna kisicho na expring date. Mimi nimewaelezea wanawake
 
Mihemko haitakusaidia Mkuu. Ukweli ndio huo. Unachohangaika ni nini? Hakuna kisicho na expring date. Mimi nimewaelezea wanawake
Sio mihemko ndugu yangu, kweli nakwambia mpumbavu analiona shimo na bado analifuata ili akaanguke ndani yake na limfinike milele yeye na kizazi chake walahi
Be careful with your thoughts walahi!
 
Sio mihemko ndugu yangu, kweli nakwambia mpumbavu analiona shimo na bado analifuata ili akaanguke ndani yake na limfinike milele yeye na kizazi chake walahi
Be careful with your thoughts walahi!


Ndio mnavyowatishaga wajinga. Hahahaa!! Pole sana expring date yako umeiona lakini?
 
Back
Top Bottom