Mwanamke ana expire date

Mwanamke ana expire date

We jamaaa umegonga mule muleeeee , sasa uvumilie na ujio wao tu
 
.....kwamba sijaielewa mada yako?
Nimeielewa na sina haja ya kurudia.

Narudia tena kusema mada yako haina mashiko.!!


Ukikua utaelewa kinachoelezewa hapa. Kwa sasa bado
 
We jamaaa umegonga mule muleeeee , sasa uvumilie na ujio wao tu


Watu wanatoa povu mbaya mno. Nilitegemea kusikia kuwa hata wanaume wanayo-expire date lakini watoa mapovu hawajafikisha akili zao huko
 
Mada haina mashiko kwa maisha ya sasa. Na wanaume nao wana-expire baada ya umri gani?. Huenda nasi wanaume tunafikia maamuzi ya kuchumbia tukiwa tayari tulisha-expire pia.
 
Mwenyezi mungu akupe kila lenye kheir na wewe na akuzidishie mapenzi na kumlea mzazi wako,hua nafarijika sana mtu akimpenda mzazi wake hasa MAMA, mwenyezi mungu akufungulie milango ya kheir na akupe ushindi mbele za maadui zako daima Ameen.
Hahaha badala ya kupoteza mda wa kufurahi mtu akimpenda mzazi wake hasa mama na sio baba basi poteza mda mwingi kumuhamisisha mumewe aendelee kumsaidia mama ake mzazi japo kakuoa wewe.Nadhani mnajua mna roho za kufarakanisha wame zenu na mama zao.
 
Hisia zako hazibadili ukweli. Mpaka sasa nina watoto wakike wawili hivyo haibadili ukweli

Jiandae tu vijana wakianza kusukumia ndani binti Wa kwanza sukumia ndani binti Wa pili 🤣🤣🤣watakufyekelea mbali kwa presha unaexpire kabla ya expire date yenyewe
 
Jiandae tu vijana wakianza kusukumia ndani binti Wa kwanza sukumia ndani binti Wa pili 🤣🤣🤣watakufyekelea mbali kwa presha unaexpire kabla ya expire date yenyewe


Hahaahhaaa!! Mkuu acha wafwekyelewe mbali huko ni maamuzi yao na maisha yao. Wakizingua ni kuwatimua tuu ndani ya nyumba. Wanaume wengine hatuendekezi ujinga
 
Joka Jeusiiiiiiiiii-utapata taabu sana. Ndivyo ilivyokuwa zamani ila kama imepitwa na wakati lini sijajua. Siku hizi tunasaidiana hivyohivyo. Walioexpire tunabeba tu. sasa waende wapi. Na je huoni wengi ndo kwanza wanajua kuna kuexpire.
 
Hivi unaongea hivyo mna wazazi kweli hiyo expire date waangalie waliokuzunguka kuanzia mama yako, dada yako, shangazi zako, mke wako na watoto wa kike halafu uje uongee pumba kama hizo
Hapa naanza kuamini wanaume wenye busara ni wachache isivyo kawaida na wengine ndio mizigo mliowengi mnafanya wanaume wanaonekana waajabu kumbe sivyondivyo
 
Kwa nini umweke mwanamke used ndani wakati vyombo vipya vipo tele.ulimwenguni wanawake ni wengi zaidi ya wanaume.
 
Joka Jeusiiiiiiiiii-utapata taabu sana. Ndivyo ilivyokuwa zamani ila kama imepitwa na wakati lini sijajua. Siku hizi tunasaidiana hivyohivyo. Walioexpire tunabeba tu. sasa waende wapi. Na je huoni wengi ndo kwanza wanajua kuna kuexpire.


Hahaaa!! mkuu umetisha sana
 
Hivi unaongea hivyo mna wazazi kweli hiyo expire date waangalie waliokuzunguka kuanzia mama yako, dada yako, shangazi zako, mke wako na watoto wa kike halafu uje uongee pumba kama hizo
Hapa naanza kuamini wanaume wenye busara ni wachache isivyo kawaida na wengine ndio mizigo mliowengi mnafanya wanaume wanaonekana waajabu kumbe sivyondivyo


Mkuu hao wote ninao lakini ukweli upo pale pale
 
Diamond alijitahidi weeeee kuvumilia kwa zari lakin mwisho wa siku akaona tabu ya nin...ajinyime wakati vyenye uafadhali vimejaa mtaan kibao. Alafu mtu aje aseme eti umri ni namba tu. Nan kasema
 
Diamond alijitahidi weeeee kuvumilia kwa zari lakin mwisho wa siku akaona tabu ya nin...ajinyime wakati vyenye uafadhali vimejaa mtaan kibao. Alafu mtu aje aseme eti umri ni namba tu. Nan kasema


Ni ile kujifariji tuu. Hata wanaume tunayo-expire date yetu lakini sisi ni tofauti na ndugu zetu
 
Siungi mkono hoja...

Haka kamke kangu kadiri siku zinavyosonga mbele ndo kanazidi kuwa kigori na kunifanya nijute kuchelewa kukafahamu...

Nikimuangalia mama yangu, na miaka yake zaidi ya 60 hivi sasa... bado ana sura angavu, tabasamu mwanana, upendo uliodhahiri na ujasiri usio na mashaka... Nitakuwa nimemtemdea Mungu dhambi, kumkosea baba heshima na kumdharau mama yangu kusema eti ameeksipaya... Lord have Mercy!

Kwangu mimi binadamu aliyeeksipaya ni maiti tu...

Salute kwenu nyote wanawake na mniwie radhi pale napowasemea mabaya. Saa nyingine shetani na pombe hunighilibu ..
Hahaha
 
Back
Top Bottom