Mwanamke anaachika kutoka kwa mume wake kisa mchepuko halafu anaenda kuambukizwa HIV kitaalamu tunaitaje?

Mwanamke anaachika kutoka kwa mume wake kisa mchepuko halafu anaenda kuambukizwa HIV kitaalamu tunaitaje?

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Baada ya mwanamke kujua/ kufahamu mume wake anachepuka na kidada fulani jirani,mwanamke anaachika huku akidai hawezi kuvumilia mwanaume amletee magonjwa ya zinaa na UKIMWI

Akiwa huko anakutana na mwanaume mwingine na kukubali kuolewa naye na kupachikwa ujauzito na siku ya clinic anaambiwa ana maambukizi ya HIV na katika kumfuatilia huyu mwanaume wa pili au wa kwanza nani amemuambukiza anagundua mume wa pili ndiye amemuambukiza.

Je kitaalamu tunaweza kusemaje hapa?
 
Baada ya mwanamke kujua/ kufahamu mume wake anachepuka na kidada fulani jirani,mwanamke anaachika huku akidai hawezi kuvumilia mwanaume amletee magonjwa ya zinaa na UKIMWI

Akiwa huko anakutana na mwanaume mwingine na kukubali kuolewa naye na kupachikwa ujauzito na siku ya clinic anaambiwa ana maambukizi ya HIV na katika kumfuatilia huyu mwanaume wa pili au wa kwanza nani amemuambukiza anagundua mume wa pili ndiye amemuambukiza.

Je kitaalamu tunaweza kusemaje hapa?
😆 Watu wa Cuba wanasemaaaaaaa...

AMEKWEPA RISASI, KAKANYAGA BOMU
 
Back
Top Bottom