Mwanamke anaamini njia ya kurudisha fadhila kwa mwanaume aliyemsaidia ni kumpa penzi

Mwanamke anaamini njia ya kurudisha fadhila kwa mwanaume aliyemsaidia ni kumpa penzi

Ila ndio hivyo jamaa hataki sasa.
Na Mimi nimemshangaa maana Kati ya wanaume million wasiotaka uchi hawafiki watano, it's obvious hata huyo dada huko kote alipokuwa anapewa msaada alitoa uchi Sasa na kwa huyu akafikiria hivo.
 
Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Nakubishia nyie wanawake muko dhaifu sana katika kufanyiwa wema .Mke wa mtu ankwenda gengeni tu au kwa mshoni wa nguo , mwenye genge anampa nyanya 3 extra anamuongeza siku akiombwa anaachia mchezo mwenye ,ukitaka kuwachezea wanawake wewe wafanyie wema tu na hususan katika pesa au vizawadi vidogo dogo iko siku anakupiaga mwenyewe simu anaanza mazungumzo , lkn vile vile ni makatili lkn ni dhaifu mno.
 
Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Eeeh!
 
Habari zenu wa JF moja kwa moja kwenye mada.

Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya mawasiliano ni miaka mi4 sasa kuna staff mwenzangu mmoja miaka kadhaa nyuma alikuwa kwenye matatizo makubwa sana.

Mimi nilijitolea kumsaidia kwa kiasi kikubwa sana huyu binti si kama binadamu mwenzangu na kiukweli niliplay part kubwa sana kumfanya awe sawa i thank God now yupo sawa.

Sasa tatizo limeanza mwishoni mwa mwaka jana analazimisha sana awe na mimi kimapenzi kama njia moja wapo ya kurudisha fadhila kwa wema niliomtendea na anajua kabisa nimeoa lakini mie nimemwambia haina haja ya kufanya ivyo coz me nilimsaidia kwa nia njema tu na si kwa lengo tofauti.

Hataki kunielewa ananisumbua mno nimemblock kwenye kila sehemu lakini bado ananisumbua coz tunaonana kila siku ofisini.

Wanawake sio kila mtu anaekusaidia anahitaji umpe penzi sote.


Unapata bahati ya mtende halafu unaichezea? Aliyekwambia ukiwa umeoa huwezi kuongeza mke mwingine nani? Hivi kuna Mwafrika aliye kamili mwenye mwanamke mmoja?
 
Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Labda iwe amesha ku approach, hapo sawa.
 
Back
Top Bottom