Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Kivipi na wakati nimeshawahi kifanya hivi?Weee..!! siyo rahisi hivyo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi na wakati nimeshawahi kifanya hivi?Weee..!! siyo rahisi hivyo...
Na Mimi nimemshangaa maana Kati ya wanaume million wasiotaka uchi hawafiki watano, it's obvious hata huyo dada huko kote alipokuwa anapewa msaada alitoa uchi Sasa na kwa huyu akafikiria hivo.Ila ndio hivyo jamaa hataki sasa.
Nakubishia nyie wanawake muko dhaifu sana katika kufanyiwa wema .Mke wa mtu ankwenda gengeni tu au kwa mshoni wa nguo , mwenye genge anampa nyanya 3 extra anamuongeza siku akiombwa anaachia mchezo mwenye ,ukitaka kuwachezea wanawake wewe wafanyie wema tu na hususan katika pesa au vizawadi vidogo dogo iko siku anakupiaga mwenyewe simu anaanza mazungumzo , lkn vile vile ni makatili lkn ni dhaifu mno.Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Mbona umeguna mkuu?Mhhhh
Ni kweli mkuu hujakoseaNi kweli, ila haikuhusu, chache nilizonazo zinanitosha na mke wangu
Eeeh!Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Habari zenu wa JF moja kwa moja kwenye mada.
Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya mawasiliano ni miaka mi4 sasa kuna staff mwenzangu mmoja miaka kadhaa nyuma alikuwa kwenye matatizo makubwa sana.
Mimi nilijitolea kumsaidia kwa kiasi kikubwa sana huyu binti si kama binadamu mwenzangu na kiukweli niliplay part kubwa sana kumfanya awe sawa i thank God now yupo sawa.
Sasa tatizo limeanza mwishoni mwa mwaka jana analazimisha sana awe na mimi kimapenzi kama njia moja wapo ya kurudisha fadhila kwa wema niliomtendea na anajua kabisa nimeoa lakini mie nimemwambia haina haja ya kufanya ivyo coz me nilimsaidia kwa nia njema tu na si kwa lengo tofauti.
Hataki kunielewa ananisumbua mno nimemblock kwenye kila sehemu lakini bado ananisumbua coz tunaonana kila siku ofisini.
Wanawake sio kila mtu anaekusaidia anahitaji umpe penzi sote.
hahahaaaa yeye hana shida mkuu so hahitaji msaadaSasa ulimsaidia..na yeye anataka kukusaidia..
Mbona hujui shukran?
[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu na mbinguni hutaenda..[emoji1787]
Labda iwe amesha ku approach, hapo sawa.Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri kutangazwa kwamba jogoo anateleza kwenye mtungi.. hapandi
Kupelana chabwina andee..!!Acha uchoyo Mr, mpe mwenzio urungu huo [emoji23][emoji23][emoji23]
Bila hivyo je..!?Labda iwe amesha ku approach, hapo sawa.
Yes ka ka ku approach it's okay, ila wanaume wanaotoa msaada bila kupewa kitu Cha papuchi ni exceptional and unique.Labda iwe amesha ku approach, hapo sawa.
Hakika kabisaaah.Yes ka ka ku approach it's okay, ila wanaume wanaotoa msaada bila kupewa kitu Cha papuchi ni exceptional and unique.
Hakna kitu.Bila hivyo je..!?
Chabwina sana wa mlongo, au nilonge makehu? [emoji23][emoji23][emoji23]Kupelana chabwina andee..!!