Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Habari zenu bana.
Ameniomba pesa nimeenda kwa wakala kumtumia na nika hakikisha jina lake.
Yeye anasema mimi ni mjeuri na simpatilizi kwasababu eti hata sijampigia simu kumuuliza kama imefika!!!,.
Nimemjibu kama ifuatavyo.
Wewe, ukiomba ela nikikutumia ni jukumu lako kuangalia na kuniambia asante umeipata.
Ukikausha nami naendelea na mambo yangu kwasababu kiasi nilichokutumia nahesabu kama hasaratu, kwaiyo ukiipata usiipate I don't give damen!.
Nimemaliza.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ameniomba pesa nimeenda kwa wakala kumtumia na nika hakikisha jina lake.
Yeye anasema mimi ni mjeuri na simpatilizi kwasababu eti hata sijampigia simu kumuuliza kama imefika!!!,.
Nimemjibu kama ifuatavyo.
Wewe, ukiomba ela nikikutumia ni jukumu lako kuangalia na kuniambia asante umeipata.
Ukikausha nami naendelea na mambo yangu kwasababu kiasi nilichokutumia nahesabu kama hasaratu, kwaiyo ukiipata usiipate I don't give damen!.
Nimemaliza.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app