Mwanamke ananitaka kimapenzi

Mwanamke ananitaka kimapenzi

Faru01

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
32
Reaction score
125
Habari za jioni ndugu zangu.

Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.

Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia😁

Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.

Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndio sababu ya kujoin jamiiforums leo).
 
Habari za jioni ndugu zangu.

Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.

Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia😁

Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.

Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndo sababu ya kujoin jamiiforum leo).
Ya kwamba mtoto atalea mwenyewe hiyo ni gia tu na pengine anajua unapenda miteremko..!!
 
Kuna mmoja aliniambia hili, nikamwambia aandike contract kwa mwanasheria, kama utani.

He, bidada si kaja na contract kweli!

Nikamwambia hapa kutakuja kuwa na matatizo baadaye.
Ukazaa naye au ulisepa? Na kama ulisepa ulifanikiwaje?

Namfahamu mwamba mmoja yeye katika pitapita za ujanani akamtia mimba mwanamke mmoja. Mwanamke alikuwa na uwezo wake na hakutaka hata kumsumbua jamaa. Bidada akasafiri kwenda mkoa mwingine na wakapotezana na jamaa.

Akazaa mtoto wa kiume huko. Huku jamaa akaanza maisha yake na akaowa. Bidada yeye ana uwezo kifedha na hataki kuzaa kila mtoto na baba yake. Akaamua kumtafuta mwamba na kumwambia pamoja na kwamba ameowa, yeye anachohitaji ni kuzaa naye tu. Hivyo bidada alipolea mtoto wake na kufka miaka mitano, akaanza kumtafuta mwamba. Wakazaa wa pili.. Mpaka sasa wana watatu na bidada wala hasumbui..
 
Habari za jioni ndugu zangu.

Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.

Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia😁

Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.

Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndo sababu ya kujoin jamiiforum leo).
Sawa Faru John! Karibu JF!
 
Habari za jioni ndugu zangu.

Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.

Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia😁

Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.

Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndo sababu ya kujoin jamiiforum leo).
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌 Tuvulana bhana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119] Tuvulana bhana
Unamcheka mwanao badala ya kumshauri
 
Habari za jioni ndugu zangu.

Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.

Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia[emoji16]

Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.

Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndo sababu ya kujoin jamiiforum leo).
Kijana wa ovyo sana ww

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom