Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Mwache aendelee kuwaza mapenziBadala uwaze UE, wee uko ndotoni unawaza jimama likulee.
Mxxxieeeeew, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache aendelee kuwaza mapenziBadala uwaze UE, wee uko ndotoni unawaza jimama likulee.
Mxxxieeeeew, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahMwache aendelee kuwaza mapenzi
Utakuta n lijeba flan lenye bichwa kubwa lakn hewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
Nilisepa. Ila tumebaki washikaji mpaka leo.Ukazaa naye au ulisepa? Na kama ulisepa ulifanikiwaje?
Namfahamu mwamba mmoja yeye katika pitapita za ujanani akamtia mimba mwanamke mmoja. Mwanamke alikuwa na uwezo wake na hakutaka hata kumsumbua jamaa. Bidada akasafiri kwenda mkoa mwingine na wakapotezana na jamaa.
Akazaa mtoto wa kiume huko. Huku jamaa akaanza maisha yake na akaowa. Bidada yeye ana uwezo kifedha na hataki kuzaa kila mtoto na baba yake. Akaamua kumtafuta mwamba na kumwambia pamoja na kwamba ameowa, yeye anachohitaji ni kuzaa naye tu. Hivyo bidada alipolea mtoto wake na kufka miaka mitano, akaanza kumtafuta mwamba. Wakazaa wa pili.. Mpaka sasa wana watatu na bidada wala hasumbui..
Ulikubaliana naye kwa kusema kuwa wewe una akili? Unahisi alikukejeli?Nilisepa. Ila tumebaki washikaji mpaka leo.
Alisema anataka nimuachie kopi yenye akili kama mimi. Wala hatanisumbua.
Mimi nikaona siwezi kukaa mbali na mwanangu.
Kuwa na akili ni kitu relative. Hakunikejeli kwa sababu alikuwa akilisema hilo mara nyingi na kulirudia sana.Ulikubaliana naye kwa kusema kuwa wewe una akili? Unahisi alikukejeli?
Huyo bila shaka ni msomi na anajitambua. Ni nadra mwanamke kumuambia mwanaume kuwa ana akili hasa Afrika.Kuwa na akili ni kitu relative. Hakunikejeli kwa sababu alikuwa akilisema hilo mara nyingi na kulirudia sana.
Hiyo ni bahatiUkazaa naye au ulisepa? Na kama ulisepa ulifanikiwaje?
Namfahamu mwamba mmoja yeye katika pitapita za ujanani akamtia mimba mwanamke mmoja. Mwanamke alikuwa na uwezo wake na hakutaka hata kumsumbua jamaa. Bidada akasafiri kwenda mkoa mwingine na wakapotezana na jamaa.
Akazaa mtoto wa kiume huko. Huku jamaa akaanza maisha yake na akaowa. Bidada yeye ana uwezo kifedha na hataki kuzaa kila mtoto na baba yake. Akaamua kumtafuta mwamba na kumwambia pamoja na kwamba ameowa, yeye anachohitaji ni kuzaa naye tu. Hivyo bidada alipolea mtoto wake na kufka miaka mitano, akaanza kumtafuta mwamba. Wakazaa wa pili.. Mpaka sasa wana watatu na bidada wala hasumbui..
Inategemea mkuu. Ujue wanawake wote si sawa, na hata wanaume wote si sawa.Huyo bila shaka ni msomi na anajitambua. Ni nadra mwanamke kumuambia mwanaume kuwa ana akili hasa Afrika.