Mwanamke ananitaka kimapenzi

Mwanamke ananitaka kimapenzi

Anafanya kazi bar.
Anataka mtoto, manake mfanye ngono zembe zaidi ya mara moja.
Umefikiria risk ya HIV/AIDs ukiachana na changamoto nyingine za ujauzito na malezi???
 
Ukazaa naye au ulisepa? Na kama ulisepa ulifanikiwaje?

Namfahamu mwamba mmoja yeye katika pitapita za ujanani akamtia mimba mwanamke mmoja. Mwanamke alikuwa na uwezo wake na hakutaka hata kumsumbua jamaa. Bidada akasafiri kwenda mkoa mwingine na wakapotezana na jamaa.

Akazaa mtoto wa kiume huko. Huku jamaa akaanza maisha yake na akaowa. Bidada yeye ana uwezo kifedha na hataki kuzaa kila mtoto na baba yake. Akaamua kumtafuta mwamba na kumwambia pamoja na kwamba ameowa, yeye anachohitaji ni kuzaa naye tu. Hivyo bidada alipolea mtoto wake na kufka miaka mitano, akaanza kumtafuta mwamba. Wakazaa wa pili.. Mpaka sasa wana watatu na bidada wala hasumbui..
Nilisepa. Ila tumebaki washikaji mpaka leo.

Alisema anataka nimuachie kopi yenye akili kama mimi. Wala hatanisumbua.

Mimi nikaona siwezi kukaa mbali na mwanangu.
 
Nilisepa. Ila tumebaki washikaji mpaka leo.

Alisema anataka nimuachie kopi yenye akili kama mimi. Wala hatanisumbua.

Mimi nikaona siwezi kukaa mbali na mwanangu.
Ulikubaliana naye kwa kusema kuwa wewe una akili? Unahisi alikukejeli?
 
Kuwa na akili ni kitu relative. Hakunikejeli kwa sababu alikuwa akilisema hilo mara nyingi na kulirudia sana.
Huyo bila shaka ni msomi na anajitambua. Ni nadra mwanamke kumuambia mwanaume kuwa ana akili hasa Afrika.
 
Ukazaa naye au ulisepa? Na kama ulisepa ulifanikiwaje?

Namfahamu mwamba mmoja yeye katika pitapita za ujanani akamtia mimba mwanamke mmoja. Mwanamke alikuwa na uwezo wake na hakutaka hata kumsumbua jamaa. Bidada akasafiri kwenda mkoa mwingine na wakapotezana na jamaa.

Akazaa mtoto wa kiume huko. Huku jamaa akaanza maisha yake na akaowa. Bidada yeye ana uwezo kifedha na hataki kuzaa kila mtoto na baba yake. Akaamua kumtafuta mwamba na kumwambia pamoja na kwamba ameowa, yeye anachohitaji ni kuzaa naye tu. Hivyo bidada alipolea mtoto wake na kufka miaka mitano, akaanza kumtafuta mwamba. Wakazaa wa pili.. Mpaka sasa wana watatu na bidada wala hasumbui..
Hiyo ni bahati
 
Huyo bila shaka ni msomi na anajitambua. Ni nadra mwanamke kumuambia mwanaume kuwa ana akili hasa Afrika.
Inategemea mkuu. Ujue wanawake wote si sawa, na hata wanaume wote si sawa.

Moja ya tatizo kubwa ninaloliona katika kujadili haya mambo ya jinsia ni hili la kuwaweka wanawake/wanaume katika fungu moja. Wakati wanawake hata waliozaliwa nyumba moja na kulelewa sawa wanaweza kuwa na tofauti kubwa sana.

Kuna tofauti nyingi za ki genetics, kielimu,kihistoria etc zinaweza kufanya wanawake wawe tofauti sana.

Sasa, watu mara nyingi hufanya makosa ya kuhusisha moja kwa moja uzoefu wa wanawake wanaokutana nao, labda kutokana na mazingira yao, na kusema kwamba wanawake wengi, au wote, ndiyo wako hivyo.
 
Haya wamesharudi kuhesabiwa hizi ni post za kwenye vi korido vya hostel.
 
Back
Top Bottom