Kwaiyo asile hata mbususu? Wengine sisi utelezi wa tabu.Ushasema ni Muiraq... Hiyo sauti inayoishi ndani yako kwamba ANAKUPENDA uikemee haraka sana, na uishinde.... Sahau na endelea na maisha yako ndg yangu,.. 22yrs ni mapema sana.
Ana tako? Kama analo mpe mtoto roho yake itulie [emoji41]Habari za jioni ndugu zangu.
Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.
Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia[emoji16]
Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.
Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndo sababu ya kujoin jamiiforum leo).
Mbengo zitafongoka[emoji23][emoji23]Habari za jioni ndugu zangu.
Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.
Mimi ni kijana wa kiume Nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia[emoji16]
Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.
Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndo sababu ya kujoin jamiiforum leo).
Huyo sasa ndio superwoman. Huyo ndio amwe mfano wa superwoman. to yeye njoo usikie huku kuhusu super womanUkazaa naye au ulisepa? Na kama ulisepa ulifanikiwaje?
Namfahamu mwamba mmoja yeye katika pitapita za ujanani akamtia mimba mwanamke mmoja. Mwanamke alikuwa na uwezo wake na hakutaka hata kumsumbua jamaa. Bidada akasafiri kwenda mkoa mwingine na wakapotezana na jamaa.
Akazaa mtoto wa kiume huko. Huku jamaa akaanza maisha yake na akaowa. Bidada yeye ana uwezo kifedha na hataki kuzaa kila mtoto na baba yake. Akaamua kumtafuta mwamba na kumwambia pamoja na kwamba ameowa, yeye anachohitaji ni kuzaa naye tu. Hivyo bidada alipolea mtoto wake na kufka miaka mitano, akaanza kumtafuta mwamba. Wakazaa wa pili.. Mpaka sasa wana watatu na bidada wala hasumbui..
Kumbe ni usuper woman wa maneno tuuUliona wapi ukimpa mimba mwanamke analea mwenyewe....... RUN
Dalili za kuumaliza mwendo hizi.Habari za jioni ndugu zangu.
Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia[emoji16]
Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.
Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndo sababu ya kujoin jamiiforum leo).
Angekuwa na uwezo angezaa naye.Ukazaa naye au ulisepa? Na kama ulisepa ulifanikiwaje?
Namfahamu mwamba mmoja yeye katika pitapita za ujanani akamtia mimba mwanamke mmoja. Mwanamke alikuwa na uwezo wake na hakutaka hata kumsumbua jamaa. Bidada akasafiri kwenda mkoa mwingine na wakapotezana na jamaa.
Akazaa mtoto wa kiume huko. Huku jamaa akaanza maisha yake na akaowa. Bidada yeye ana uwezo kifedha na hataki kuzaa kila mtoto na baba yake. Akaamua kumtafuta mwamba na kumwambia pamoja na kwamba ameowa, yeye anachohitaji ni kuzaa naye tu. Hivyo bidada alipolea mtoto wake na kufka miaka mitano, akaanza kumtafuta mwamba. Wakazaa wa pili.. Mpaka sasa wana watatu na bidada wala hasumbui..
Dah!,Hizo ni bahati za watu wachache.Ukazaa naye au ulisepa? Na kama ulisepa ulifanikiwaje?
Namfahamu mwamba mmoja yeye katika pitapita za ujanani akamtia mimba mwanamke mmoja. Mwanamke alikuwa na uwezo wake na hakutaka hata kumsumbua jamaa. Bidada akasafiri kwenda mkoa mwingine na wakapotezana na jamaa.
Akazaa mtoto wa kiume huko. Huku jamaa akaanza maisha yake na akaowa. Bidada yeye ana uwezo kifedha na hataki kuzaa kila mtoto na baba yake. Akaamua kumtafuta mwamba na kumwambia pamoja na kwamba ameowa, yeye anachohitaji ni kuzaa naye tu. Hivyo bidada alipolea mtoto wake na kufka miaka mitano, akaanza kumtafuta mwamba. Wakazaa wa pili.. Mpaka sasa wana watatu na bidada wala hasumbui..
Mwanamke ana miaka 29, wewe una miaka 22.Habari za jioni ndugu zangu.
Mimi sio mwandishi mzuri jaman tunaenda hivyo hivyo.
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 22 nafanya kazi sehemu x lengo la kuandika huu uzi ni kwamba kuna mwanamke wa kiiraq alikuwa anakuja kazini nampatia huduma ila mwezi uliyopita kaniambia ananipenda nikaona sio kesi nikamkubalia[emoji16]
Yeye ana miaka 29 na ana mtoto amenizidi miaka 7 wiki hii anataka tufanye mapenzi na anataka nimpe ujauzito ili anizalie mtoto halafu Mimi sipo tayari kwa mtoto sahivi.
Huyu mwanamke halafu anafanya kazi bar na anasema mtoto atalea yeye ushauri wakuu (hii ndo sababu ya kujoin jamiiforum leo).
Mwanamke ana miaka 29 Mimi Nina miaka 22 huyu mwanamke kanizidi mm miaka 7 halafu huyu mwanamke anaye mtoto wa miaka 6Mwanamke ana miaka 29, wewe una miaka 22.
Alafu huyo mwanamke ana mtoto ambaye kakuzidi Miaka 7.
Maana yake huyo mtoto ana miaka 29 ambayo ni sawa na Mama yake?
Kwahiyi mama=mtoto wake kiumri.?
Au mimi ndo nina mawazo ya Kiwendawazimu[emoji849][emoji849][emoji849].
Uwezo upi? Kifedha au kibaiyolojia?Angekuwa na uwezo angezaa naye.
Ukishaona mtu anatoa visababu visivyo na uzito ujue mwendo kushnei
Sana.. Hawa wa sasa weeeeee...!!! UsithubutuDah!,Hizo ni bahati za watu wachache.
Mbengo zitafongoka[emoji23][emoji23]
Hahahaha we jamaa umenchekesha sanaa...hakika mbengo zitafongokaMbengo zitafongoka[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja aliniambia hili, nikamwambia aandike contract kwa mwanasheria, kama utani.
He, bidada si kaja na contract kweli!
Nikamwambia hapa kutakuja kuwa na matatizo baadaye.
Tena mbuchuchu lenyewe amechomekewa pale ngarenaro mtoni.Oya dingi hiyo ni mbuchuchu arif kaa kwa password.