Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
 
Tafiti tafiti tafiti my foot!!!

Nyie halali kwetu haramu!!
G
Haramu tamu na bado mtatafiti sana usiposimamia show vizuri ukileta ujeuri ndani ni kuwaua tu ili usaidiwe uanaume wako vizuri,

Mliumbwa kwa mfano wa Mungu sasa mada zenu za kujiliza Liza humu mnamuaibisha aliyetoa wazo la nyie kuwa wa kwanza kuumbwa
 
[emoji817]....uko sawa kabisa... wanawake wanaochepuka wananidhamu ya hali juu sana kwa michepuko yao kuliko kwa mmewe.

Upendo kwa mme wake utakuwa wa kusogeza maisha tu sio wa hisia...!

Asilimia kubwa ya vifo vya mapema kwa wanaume huchangiwa na sababu za kindoa.
 
Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
 
1,000,000,000 upo sahihi mkuu, mm ili kosa huwa sisamehi kabisaaaaaaaaa
 
Povu la nini? Unaonekana wewe umekubuhu kwa kuchepuka na unampango Wa kumuua mumeo ili uchepuke kwa uhuru
 
Dada umepaniki, ni kweli mko hivyo, sababu za kuchepuka kwenu zinaweza kuwa nyingi tu ila tunachosema once mkichepuka mnakuwa wabaya sana heri hata ya snake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…