Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
mwanamke ana machaguo/majibu/maamuzi mawili na yote ni sahihi kwake ila mwanaume ana chaguo/amuzi moja tu analoliamini kwamba ni sahihi

Ni tofauti moja kubwa sana hapo dada yangu
 
Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko

HABARI,
Punguza Hasira Dada Upopo pole najua amekuudhi.

LUMUMBA
 
Tafiti tafiti tafiti my foot!!!

Nyie halali kwetu haramu!!
G
Haramu tamu na bado mtatafiti sana usiposimamia show vizuri ukileta ujeuri ndani ni kuwaua tu ili usaidiwe uanaume wako vizuri,

Mliumbwa kwa mfano wa Mungu sasa mada zenu za kujiliza Liza humu mnamuaibisha aliyetoa wazo la nyie kuwa wa kwanza kuumbwa
Nyie mkichepuka ua mnazama moyo wote kwa mchepuko tofaut na cc boys, tukichepuka ni bcoz of matamanio tu, nikishakojoa tu namkumbuka mke wngu, na hata likitokea la kutokea uwa tunakua upande wa wake zetu. Over

Good example ni Diamond, japo akufunga ndoa na Zari, lakin baada ya kutokea yalitokea, kajirud kwa Zari
 
Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
Siku zote kidonge huwa ni kichungu
 
Nyie mkichepuka ua mnazama moyo wote kwa mchepuko tofaut na cc boys, tukichepuka ni bcoz of matamanio tu, nikishakojoa tu namkumbuka mke wngu, na hata likitokea la kutokea uwa tunakua upande wa wake zetu. Over

Good example ni Diamond, japo akufunga ndoa na Zari, lakin baada ya kutokea yalitokea, kajirud kwa Zari
Mara ngapi michepuko yenu inaangamiza familia kwa kuvidindisha visangara vyenu????

Haramu tamu km kwenu halali mjiandae kufwa tu
 
Nyie mkichepuka ua mnazama moyo wote kwa mchepuko tofaut na cc boys, tukichepuka ni bcoz of matamanio tu, nikishakojoa tu namkumbuka mke wngu, na hata likitokea la kutokea uwa tunakua upande wa wake zetu. Over

Good example ni Diamond, japo akufunga ndoa na Zari, lakin baada ya kutokea yalitokea, kajirud kwa Zari
Hata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.
 
Hata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.
Naona wanajikaza kweli kuhalalisha kwao tu
 
Back
Top Bottom