Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanamke ana machaguo/majibu/maamuzi mawili na yote ni sahihi kwake ila mwanaume ana chaguo/amuzi moja tu analoliamini kwamba ni sahihiKwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
Haya, nawe pia.haya endelea kushangaa
Haaaa nimecheka tuuPovu la nini? Unaonekana wewe umekubuhu kwa kuchepuka na unampango Wa kumuua mumeo ili uchepuke kwa uhuru
Nyie mkichepuka ua mnazama moyo wote kwa mchepuko tofaut na cc boys, tukichepuka ni bcoz of matamanio tu, nikishakojoa tu namkumbuka mke wngu, na hata likitokea la kutokea uwa tunakua upande wa wake zetu. OverTafiti tafiti tafiti my foot!!!
Nyie halali kwetu haramu!!
G
Haramu tamu na bado mtatafiti sana usiposimamia show vizuri ukileta ujeuri ndani ni kuwaua tu ili usaidiwe uanaume wako vizuri,
Mliumbwa kwa mfano wa Mungu sasa mada zenu za kujiliza Liza humu mnamuaibisha aliyetoa wazo la nyie kuwa wa kwanza kuumbwa
haya nawe piapiaHaya, nawe pia.
Haaaa povu la wanaume kea wanawake ndio sipendi.Kwani anachepuka na naniHABARI,
Punguza Hasira Dada Upopo pole najua amekuudhi.
LUMUMBA
Siku zote kidonge huwa ni kichunguKwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
Hayahaya nawe piapia
Mara ngapi michepuko yenu inaangamiza familia kwa kuvidindisha visangara vyenu????Nyie mkichepuka ua mnazama moyo wote kwa mchepuko tofaut na cc boys, tukichepuka ni bcoz of matamanio tu, nikishakojoa tu namkumbuka mke wngu, na hata likitokea la kutokea uwa tunakua upande wa wake zetu. Over
Good example ni Diamond, japo akufunga ndoa na Zari, lakin baada ya kutokea yalitokea, kajirud kwa Zari
Ukifiria vizuri hutajibu tena hivyo.Mtenda akitendwa yani anaumia balaaa
Hata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.Nyie mkichepuka ua mnazama moyo wote kwa mchepuko tofaut na cc boys, tukichepuka ni bcoz of matamanio tu, nikishakojoa tu namkumbuka mke wngu, na hata likitokea la kutokea uwa tunakua upande wa wake zetu. Over
Good example ni Diamond, japo akufunga ndoa na Zari, lakin baada ya kutokea yalitokea, kajirud kwa Zari
Nature gani mkuuVumilieni tu jamani ni nature tu.
Ya kuchepuka.Nature gani mkuu
Kwa hela zote zile nikose kuingia na simu kweli.we ndo yule shika??
umetoka saa ngapi korokoroni[emoji3][emoji3]
Naona wanajikaza kweli kuhalalisha kwao tuHata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.
potezea banaHaya
Aisee una roho ngumu sana.Ya kuchepuka.