Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Na mwanamke hawez kuchepuka bila sababu..mwanamke akishaolewa anakua anajiheshim..ukiona mwanamke ana mume halafu anachepuka ujue mume wake ni malaya kwisha kaz ..na ameshaongea nae sasa ameshindwa kutatua tatizo ndo solution la tatizo inakua kutafuta mfariji..
Note:ukiona mwanaume unachepuka halafu mkeo hajui na wala hakuulizi chochote ujue na huyo mwanamke wako nae anagegedwa nje uko kwani mwanamke mwminifu hufanya uchunguz kuliko hata usalama wa taifa.
 
Mara ngapi michepuko yenu inaangamiza familia kwa kuvidindisha visangara vyenu????

Haramu tamu km kwenu halali mjiandae kufwa tu
Boys tukichepuka uwa ni matamanio tu nothing else, nature yetu tu ya kutaman, na sidhan kama kuna boy asiyechepuka ila upendo wetu kwa wake/girlfrnd wetu upo palepale, ila nyie mkichepuka uwa mme fall inlov kwa mchepuko, ushuhuda wa hili lishanitokea, i knw wat im talking
Ni hatari sana kwa girls kuchepuka kuliko kwa boys, hata jamii ikifaham unachepuka ni aibu kwa girls than boys
 
Hata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.
Yaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.
Inshort Dada zangu msitufanyie hayo pls
 
Boys tukichepuka uwa ni matamanio tu nothing else, nature yetu tu ya kutaman, na sidhan kama kuna boy asiyechepuka ila upendo wetu kwa wake/girlfrnd wetu upo palepale, ila nyie mkichepuka uwa mme fall inlov kwa mchepuko, ushuhuda wa hili lishanitokea, i knw wat im talking
Ni hatari sana kwa girls kuchepuka kuliko kwa boys, hata jamii ikifaham unachepuka ni aibu kwa girls than boys
Eti eh sawa basi
 
Yaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.
Inshort Dada zangu msitufanyie hayo pls
Kumbe inauma eeh!! Basi kaeni mjue nasi tunaumia. Ila kama ndio mmeamua ni nature basi acheni tu nasi nature itutawale. Bahati nzuri women cheat the best.
 
Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
Ndugu, huwa unachepuka? your language tone, speaks it all...
 
It's true! This is amazing for us @# Boys tunaweza gegeda then hakunaga muendelezo kwani tunaongeza idadi tu ila tuache hizo mambo
 
Kumbe inauma eeh!! Basi kaeni mjue nasi tunaumia. Ila kama ndio mmeamua ni nature basi acheni tu nasi nature itutawale. Bahati nzuri women cheat the best.
Wew [HASHTAG]#espy[/HASHTAG] inaelekea kiwembe wew, ila be careful jamaa akitambua hatoku trust again, all in all both tuwe na hofu ya Mungu, na kila mtu ajitaid ku'play part yake ili ibilisi hakose nafac
 
Hata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.
mkuu, siwezi kulea mtoto wa jamaa mwingine labda awe yatima or anahitaji msaada hapo sawa. ila hii ya kuchepuka ukaja na mimba juu, RISASI zitakuhusu sana
 
Back
Top Bottom