Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavyotumiaga nguvu kuhalalisha uzinzi haki hizo nguvu wangezihamishia kwenye utafutaji tungekuwa mbali sana, sasa wanahangaika na michepuko na nguvu zenyewe hawana(nguvu zote za mwili, akili na pesa).Naona wanajikaza kweli kuhalalisha kwao tu
Haya.potezea bana
Sijawafikia nyie mkuu.Aisee una roho ngumu sana.
Ukitaka kumficha kitu mtz mwandikie. Soma mkuu usiwe mvivu Wa kusoma.Uzi mrefu Sana.nimeusoma kidogo.ila yaliyopo humu ni ukweli mtupu.
Heko mleta uzi.
Boys tukichepuka uwa ni matamanio tu nothing else, nature yetu tu ya kutaman, na sidhan kama kuna boy asiyechepuka ila upendo wetu kwa wake/girlfrnd wetu upo palepale, ila nyie mkichepuka uwa mme fall inlov kwa mchepuko, ushuhuda wa hili lishanitokea, i knw wat im talkingMara ngapi michepuko yenu inaangamiza familia kwa kuvidindisha visangara vyenu????
Haramu tamu km kwenu halali mjiandae kufwa tu
hahaha pole lakini kwa usumbufu waliokufanyiaKwa hela zote zile nikose kuingia na simu kweli.
Nimependa hapo mwishoni hawana nguvu zote za kiakili kimwili na kifedha kusaidiwa hakuwakwepiWanavyotumiaga nguvu kuhalalisha uzinzi haki hizo nguvu wangezihamishia kwenye utafutaji tungekuwa mbali sana, sasa wanahangaika na michepuko na nguvu zenyewe hawana(nguvu zote za mwili, akili na pesa).
Yaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.Hata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.
Eti eh sawa basiBoys tukichepuka uwa ni matamanio tu nothing else, nature yetu tu ya kutaman, na sidhan kama kuna boy asiyechepuka ila upendo wetu kwa wake/girlfrnd wetu upo palepale, ila nyie mkichepuka uwa mme fall inlov kwa mchepuko, ushuhuda wa hili lishanitokea, i knw wat im talking
Ni hatari sana kwa girls kuchepuka kuliko kwa boys, hata jamii ikifaham unachepuka ni aibu kwa girls than boys
Kumbe inauma eeh!! Basi kaeni mjue nasi tunaumia. Ila kama ndio mmeamua ni nature basi acheni tu nasi nature itutawale. Bahati nzuri women cheat the best.Yaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.
Inshort Dada zangu msitufanyie hayo pls
Ndugu, huwa unachepuka? your language tone, speaks it all...Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
Ndo muache sasa mnavyoumia nyie na sie ni vivyo hivyoYaan tunda unalonipa mm then unaenda kumpa boy mwenzangu, zile style zote unazonipa unaenda kumpa pia na mchepuko, Aaaaah ngumu kumeza aisee.
Inshort Dada zangu msitufanyie hayo pls
Wew [HASHTAG]#espy[/HASHTAG] inaelekea kiwembe wew, ila be careful jamaa akitambua hatoku trust again, all in all both tuwe na hofu ya Mungu, na kila mtu ajitaid ku'play part yake ili ibilisi hakose nafacKumbe inauma eeh!! Basi kaeni mjue nasi tunaumia. Ila kama ndio mmeamua ni nature basi acheni tu nasi nature itutawale. Bahati nzuri women cheat the best.
mkuu, siwezi kulea mtoto wa jamaa mwingine labda awe yatima or anahitaji msaada hapo sawa. ila hii ya kuchepuka ukaja na mimba juu, RISASI zitakuhusu sanaHata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.