Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Hata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.
mkuu, siwezi kulea mtoto wa jamaa mwingine labda awe yatima or anahitaji msaada hapo sawa. ila hii ya kuchepuka ukaja na mimba juu, RISASI zitakuhusu sana
 
It is damn true!!..........Am wishing you so much likes for your fantastic facts!!
 
umenena kweli japo sijaoa, nnayo yaona ni uthibitisho tosha.
 
mkuu, siwezi kulea mtoto wa jamaa mwingine labda awe yatima or anahitaji msaada hapo sawa. ila hii ya kuchepuka ukaja na mimba juu, RISASI zitakuhusu sana
Usijali mkuu, hautojua.
 
Wew [HASHTAG]#espy[/HASHTAG] inaelekea kiwembe wew, ila be careful jamaa akitambua hatoku trust again, all in all both tuwe na hofu ya Mungu, na kila mtu ajitaid ku'play part yake ili ibilisi hakose nafac
Jamaa yangu ana hofu ya Mungu mkuu, hachepuki. Lucky me.
 
Anaanza kwa kusema......"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati.Nasema hivi kwasababu mwanaume hafanyi tendo la ndoa kwa hisia, mwanamke hawezi kufanya tendo la ndoa bila hisia mguso.Ndiyo maana wanaume wanahitaji mahali pa kufanya tendo la ndoa ila wanawake wanahitaji sababu ya kufanya tendo la ndoa.

Wanawake wengi wanaoenda mahakamani kudai talaka kwa waume zao ni wale wachepukaji,mwanamke asiyechepuka hawezi kwenda mahakamani kudai talaka isipokuwa kama mumewe atakuwa amezidisha unyanyasaji wa kimwili na kiakili kiwango cha kukaribia kumuua mkewe.

Wanaume hawawezi kubadili tendo la ndoa na upendo.Mwanaume anaweza kufanya tendo la ndoa na mwanamke lakini bado akawa hampendi-ndiyo maana wanawake wanaojikuta kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanaume waliooa wanaowapenda wake zao kwa dhati hupata tabu saana kupata kufurahia mahusiano hayo kwani huwa wanatumika tu na hao wanaume wenye ndoa zao. Lakini pindi tu mwanamke aliyeolewa anapolala na mchepuko wake huanza hata kusimulia habari za siri kuhusu mume wake na anaweza pia kusema ni kwa namna gani anamchukia mume wake anaweza hata kukubali kuchukua sumu kwa mchepuko wake ili amwangamize mume wake.

Kwa mwanaume tendo la ndoa na upendo ni vitu viwili tofauti kabisa,lakini kwa mwanamke tendo la ndoa na upendo ni vitu viwili vinavyoenda sambamba.Kwa mwanaume tendo la ndoa huja kwanza kabla ya upendo (matamanio) lakini kwa mwanamke upendo huja kwanza kabla ya tendo la ndoa (upendo wa dhati); kwahiyo pindi mkeo anapoanza kuchepuka upendo wake huhama kutoka kwako kwenda kwa mchepuko, anaweza hata kuanza kumpa chakula kizuri na mahaba ambavyo amekuwa akikupa wewe tu.

Mwanaume kuchepuka haimaanishi kuwa ameacha kumpenda mkewe la hasha!, ila siwezisema hivyo kwa upande wa mwanamke.Pindi mwanamke anapoanza kuchepuka anakuwa ametumbukia kimapenzi kwa mchepuko huo na maisha kwenye ndoa hayawezi kuwa sawa kamwe; na anaweza hata kumuua mmewe endapo tu atakuwa ameanza kuchepuka.

Mkeo akianza kuchepuka utakuwa mwanaume mwenye bahati sana endapo hautakufa ndani ya miaka 10.Tafiti zinaonesha kuwa 95% ya wanawake wanaochepuka huwaombea waume zao wafe haraka, ndiyo maana ni hatari sana kwa mwanaume kuendelea kuishi na mwanamke anaechepuka; vilevile ndiyo maana inashauriwa kila mahali hata kwenye Biblia kumtaliki mwanamke pindi tu anapogundulika kuwa amezini(amechepuka).

Mwanamke anaechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauwaji au silaha.Kuna wanawake wengi wachepukaji duniani hualika wauwaji usiku waje watoe uhai wa waume zao na askari hata ndugu wa mume hawawezi kugundua hilo kwani msibani huyo mwanamke atakuwa analia kwa uchungu wa kuigiza na kuficha maasi yake.Ndiyo maana wanasaikolojia hukataza sana mwanamke kuchepuka kuliko mwanaume.Wanawake hawawezi kuhimili mitafaruku ya kihisia itokanayo na kuchepuka; ndiyo sababu wanaume watafiti na wenye uelewa mkubwa watajua tu kuwa mkewe ameanza kuchepuka kwasababu huanza kumdharau mmewe na hujaribu hata kumnyima mumewe tendo la ndoa kwa visingizio lukuki.

Tafiti zinaonesha kuwa 90% ya wanawake wanaochepuka hawafurahii tendo la ndoa na waume zao hapo mwanaume makini atagundua tu hasa tabia za mkewe zitakapobadilika kuhusiana na tendo la ndoa, lakini mwanaume zube hawezi kugundua hili ataendelea kuvumilia sababu dhaifu za kunyimwa unyumba mpaka atakapoondolewa duniani.

Mwanamke hawezi kuchepuka na mtu ambae hampendi, huwa wanaitoa mioyo yao kwa kila kitu, ndiyo maana huwezi kuamini maamuzi yao.Kichekesho kikitolewa wanawake wengi wanaocheka hawacheki eti kwa sababu kichekesho ni kizuri ila ni kwasababu huwapenda wale waliotoa vichekesho hivyo; na endapo hawakupendi hata kichekesho chako kingekuwa kizuri kwa kiasi gani hawatacheka, ila mwanaume akicheka kuhusu kichekesho fulani ni kwasababu kichekesho chenyewe ni kizuri lakini si kwasababu eti anampenda mchekeshaji hii ni kwasababu wanaume wana uwezo wa kukabili hisia.

Tafiti zinaonesha kuwa ndoa nyingi huanza kuyumba pindi mwanamke anapoanza kuchepuka.Kuna wanaume wengi wanaochepuka lakini bado wanawaonesha wake zao upendo wa dhati, ila ni vigumu kukuta ndoa imesimama na mambo yanaenda sawa huku mwanamke akiwa mchepukaji.Ninarudia, karibia 100% ya wanawake wanaochepuka huwaombea waume zao wafe haraka au hulazimisha talaka ili wawe na uhuru wa kufurahia penzi la kwenye mchepuko, ila wanaume wengi hawawezi kuruhusu wake zao wa ndoa wanyanyaswe ama kwa vitendo au kwa maneno na michepuko yao, siku zote wanaume husimama upande wa wake zao.Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akampenda mkewe lakini mwanamke hawezi kuchepuka na bado akampenda mmewe.
Ah! Haya, sawa,ila inafanana na kaukweli fulani hivi!
 
Nitajua tu. watoto wote nimewapima kwa DNA test tangia wakiwa 6month old. siwezi kudanganywa na haitotokea nidanganywe
Mkemia mkuu sio mjing kama unavyodhani, sasa nyie hna migogoro yoyote unategemea akwambie watoto sio wako kweli!!!
Hiyo ndoa yako nayo kiboko mkuu, watoto unapima DNA kabisa!!! Imbombo ngafu.
 
Mkemia mkuu sio mjing kama unavyodhani, sasa nyie hna migogoro yoyote unategemea akwambie watoto sio wako kweli!!!
Hiyo ndoa yako nayo kiboko mkuu, watoto unapima DNA kabisa!!! Imbombo ngafu.
mkuu, siwezi kupimia DNA bongo na hata ningekuwa Bongo siwezi trust mkemia huyo. issue inafanyiwa south afrika, Ujerumani or marekani, na mama haitotokea ajue abadani. mkuu, siyo rahisi kuuziwa mbuzi kwa gunia. ndoa yangu iko poa, nina watoto ni watu wazima sasa...
 
mkuu, siwezi kupimia DNA bongo na hata ningekuwa Bongo siwezi trust mkemia huyo. issue inafanyiwa south afrika, Ujerumani or marekani, na mama haitotokea ajue abadani. mkuu, siyo rahisi kuuziwa mbuzi kwa gunia. ndoa yangu iko poa, nina watoto ni watu wazima sasa...
Ndoa yako iko poa huku unapima watoto!! Haya bwana.
 
mke akichepuka hugeuka nyoka mwenye sumu kali kuliko kobra. Ukigundua na kuthibitisha mkeo kachepuka unatakiwa kutoa taraka siku hiyo hiyo tena usilale naye kitanda kimoja wala usile chakula chake ama maji yake atakayokuandalia. Ni ukweli mchungu.
Mkuu upo kwenye ndoa kweli!??? Kama haupo ingia kwanza ndan ya ndoa ndipo utaona balaa lake
 
Ndoa yako iko poa huku unapima watoto!! Haya bwana.
tunawapima just in case...! cheating ni nyingi kwenye jamii na huwezi jua nani mkweli na nani mwongo. ndoa ni mkataba, na wakati wowote mkataba huo unaweza kufika ukomo na ukaenda kubembea na men wengine, and the same applies to men. bora nijue Damu halisi ya prof...na si vinginevyo! I had a friend, alikuwa na demu wake anasoma chuo na alimpenda sana na alimpa good time sana. ikabidi afunge naye ndoa huku akiwa na mimba. kumbe hiyo mimba ni ya jamaa mwingine. sometimes tunajifunza kutokana na makosa yanayowakuta ndugu na marafiki zetu...
 
tunawapima just in case...! cheating ni nyingi kwenye jamii na huwezi jua nani mkweli na nani mwongo. ndoa ni mkataba, na wakati wowote mkataba huo unaweza kufika ukomo na ukaenda kubembea na men wengine, and the same applies to men. bora nijue Damu halisi ya prof...na si vinginevyo! I had a friend, alikuwa na demu wake anasoma chuo na alimpenda sana na alimpa good time sana. ikabidi afunge naye ndoa huku akiwa na mimba. kumbe hiyo mimba ni ya jamaa mwingine. sometimes tunajifunza kutokana na makosa yanayowakuta ndugu na marafiki zetu...
Wapime tu, utakipata unachokitafuta mkuu.
 
mke akichepuka hugeuka nyoka mwenye sumu kali kuliko kobra. Ukigundua na kuthibitisha mkeo kachepuka unatakiwa kutoa taraka siku hiyo hiyo tena usilale naye kitanda kimoja wala usile chakula chake ama maji yake atakayokuandalia. Ni ukweli mchungu.
Hasira hiyo kali sana. regulate kidogo mkuu. Ila ni kweli kabisa.
 
Kwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
Hilo nalo neno.
 
Tafiti tafiti tafiti my foot!!!

Nyie halali kwetu haramu!!
G
Haramu tamu na bado mtatafiti sana usiposimamia show vizuri ukileta ujeuri ndani ni kuwaua tu ili usaidiwe uanaume wako vizuri,

Mliumbwa kwa mfano wa Mungu sasa mada zenu za kujiliza Liza humu mnamuaibisha aliyetoa wazo la nyie kuwa wa kwanza kuumbwa
Mwanaume mfano wa Mungu. Mwanaume ni kichwa cha familia. bado tunalialia.........
 
[emoji817]....uko sawa kabisa... wanawake wanaochepuka wananidhamu ya hali juu sana kwa michepuko yao kuliko kwa mmewe.

Upendo kwa mme wake utakuwa wa kusogeza maisha tu sio wa hisia...!

Asilimia kubwa ya vifo vya mapema kwa wanaume huchangiwa na sababu za kindoa.
Wajane ni wengi sana.
 
Back
Top Bottom