Mwanamke anayechepuka ni hatari sana

Ishu hapo, ni kwamba mwanamke huyo Anataka mali za mumewe, Uhuru na anamtaka huyo jamaa mwingine.
 
Naona unabishana na uhalisia.
 
Chukua kinywaji chochote baridi nitalipia. Jamii inaona wanawake km vile yan kuna vitu hatustahili kabisa. Jamii yetu kuna baadhi ya masuala inatuonea mno.
 
Mtoa mada inaonekana huna uzoefu sana na wanawake, mwanamke akikupa papuchi ya bure, haimaanishi Kuwa anakupenda mkuu, mtoa mada hujawahi pewa kirahisi papuchi ya bure na mdada halafu kesho yake ukakimbiwa..
Show mbovu itakiwa ila kama show ngavu atakutafuta tuhh mkune vizuri
 
Wewe umevuka viwango vya majadiliano upo kwenye mabishano.


Ha ha haaa

Umetumia kipimo gani kujua hivyo?

[emoji14][emoji14][emoji14]

Wewe kabiliana na hoja tu jitahidi uweze kuwa na stamina [emoji3][emoji3] maana vina vingine huwa virefu!
 
Na ndio maana binafsi huwa siharakii kumuonea huruma mtu nikisikia kachinjwa. Nyuma ya pazia lazima tu kuwe na kosa, na mara nyingi kwa sababu ya wake za watu na dharau kwa wenye hao wake.
 
Mtoa mada inaonekana huna uzoefu sana na wanawake, mwanamke akikupa papuchi ya bure, haimaanishi Kuwa anakupenda mkuu, mtoa mada hujawahi pewa kirahisi papuchi ya bure na mdada halafu kesho yake ukakimbiwa..
Mkuu itakua hujui kut.mba ndo maana ulipewa mara moja ....kiufup huna maajab
 
Mali, uhuru na huyo hawara yake. Kmmk asijiroge ke yoyote akaonesha dalili hizo kwangu. Surely nitakula maini yake. I am serious!



Mali si zinatafutwa tu!

Ukiwapo Uzima unapambana tu, ijapokuwa sio rahisi kiivyo!

Bora kuchagua kuishi kwa imani.

Na kuamini kuwa kila likuepukalo lina Kheri nawe, ilimradi iwe salama kusiwepo na kudhuriana na kuuana!

Maana atakae mzuru mwenzie hatabaki salama!
 
Hapa umeandika safi, samahani kwa kukutusi mkuu.
 
Nadhani hoja ya mwanaume Ni kichwa Cha familia, na kuwa kwanini mwanamke amheshimu mumewe iko hapa pia. Mwanaume Ni kiongozi mwanume ni mamlaka by nature. Controlling power iliyo ndani ya mwanaume Ni kubwa kuliko ya mwanamke katika mambo mengi.
 
Nadhani hoja ya mwanaume Ni kichwa Cha familia, na kuwa kwanini mwanamke amheshimu mumewe iko hapa pia. Mwanaume Ni kiongozi mwanume ni mamlaka by nature. Controlling power iliyo ndani ya mwanaume Ni kubwa kuliko ya mwanamke katika mambo mengi.
Upo sahihi kabisa Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…