Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
kaizer & the co ltd.....
naomba scientific derivation ya ''uwepo wa madhara kwenye mahusiano/ndoa wakati wahusika/wanandoa wanapozidiana kipato...''.you clarify it in total!PLEASE
ON THE VERY SERIOUS NOTE:i need a scientific prove:coffee::coffee::coffee:
 
kaizer & the co ltd.....
naomba scientific derivation ya ''uwepo wa madhara kwenye mahusiano/ndoa wakati wahusika/wanandoa wanapozidiana kipato...''.you clarify it in total!PLEASE

ON THE VERY SERIOUS NOTE:i need a scientific prove:coffee::coffee::coffee:


haha mpwa naona bado upo kwenye masuala ya harufu za infidelity


labda tuanze kwanza hebu tuambie science ni nini na kuna aina ngapi za science, then utaona kuwa wala huhitaji derivation to work this out...
 

Hapo Kwenye Nyekundu ndipo balaa ilipo na ndio chanzo cha hayo yooooote ya wanawake wenye uwezo kutoolewa au kukimbiwa, hapo kwenye Nyekundu mwanzo yanakuwa mawazoni tu, lakini mwisho wa siku unamtamkia mtu live,
 
haha mpwa naona bado upo kwenye masuala ya harufu za infidelity


labda tuanze kwanza hebu tuambie science ni nini na kuna aina ngapi za science, then utaona kuwa wala huhitaji derivation to work this out...
unaona sasa!.......
 
kaizer & the co ltd.....
naomba scientific derivation ya ''uwepo wa madhara kwenye mahusiano/ndoa wakati wahusika/wanandoa wanapozidiana kipato...''.you clarify it in total!PLEASE

Team, kumbe na wewe ni Tomaso?

Hebu imagine, mke wako mlikuwa class moja, halafu yeye akaibuka na GPA ya 4.5 wakati wewe umetoka ukichechemea na 2.9. Hata ukimzidi kipato utakuwa na amani siku zote? Hutawaza kwamba kuna siku vuvuzela zinaweza kung'aa akukumbusha ulivyokuwa kiazi darasani? Au ikitokea anamfudisha mtoto wenu ambaye naye nondo hazipandi kama wewe, na akaanza kumumwagia matusi; wewe utabaki bila kuguswa? Ukijibu hapo nitakupa mfano mwingine kama bado unataka kushika vidonda ili uamini!
 
Hapo Kwenye Nyekundu ndipo balaa ilipo na ndio chanzo cha hayo yooooote ya wanawake wenye uwezo kutoolewa au kukimbiwa, hapo kwenye Nyekundu mwanzo yanakuwa mawazoni tu, lakini mwisho wa siku unamtamkia mtu live,

hivi atatamkiwa tu bila kisa?..na nikikutamkia c nakuambia ukweli wako, nakumbuka ndugu yangu yeye alifanya kimtimua kabisa mume ndani coz alimfumania, nikufumanie unaishi chini ya paa langu nililolitolea jasho then nishindwe kufanya la kufanya ili iweje....
 
mkuu,
as for me NOT SATISFACTORY....!
kwanini....!kwasababu i have seen it happening to the people i live with!mdogo wangu(causin sister) ni very bright na pia she was in the TOP FIVE STUDENTS wa tz form six ya 2005.amesoma compyuter engineering kwa mukandara hapo...!she is married to jamaa ambae ni mwalimu tena wale wa CRUSH PROGRAMME!....three yrs now,two kids!!...THEY ARE REALLY HAPPY SO FAR!

hata hivyo mkuuu dc(i need a scientific derivation)
 


mkuu hapo anataka 'sayansi'....
 
ON THE VERY SERIOUS NOTE:i need a scientific prove:coffee::coffee::coffee:
Scientific proof mpaka kwenye ndoa? Dah! wahandisi bana!

Three years? You just give it time. Miaka mitatu mbado wanalala huku wamekumbatiana. Subiri watakapozoeana kisawa sawa na fedha kushika nafasi yake. Hapo pia nazungumzia uzoefu, sihitaji kuulizwea swali
 
defend your theory SCIENTIFICALLY!:typing::typing:
 
mkuu hapo anataka 'sayansi'....

Angekuwa bado yupo yupo, ningemwambie yeye aende tu ahalafu aje atueleze. Hakuna haja ya kuwa Guinea pia kwani kila kitu kiko wazi tu. Hakuna mtu anapenda kuishi maisha ambayo yuko insecure. Na mbaya sana tena sana mwanamume (halafu wa ki-Afrika) akiwa na inferiority complex. Ni hatari kuliko ukoma. Ndo maana sisi (kwa mambo yote ambayo tumeyaona, sufficient to be more scientific), tunawashauri wadogo zetu wasijaribu ku-cross boundary za mambo muhimu ya kijamii. Kama hawataki basi, lakini wasije kusema kuwa hatukuwaeleza.
 
haha mpwa naona bado upo kwenye masuala ya harufu za infidelity


labda tuanze kwanza hebu tuambie science ni nini na kuna aina ngapi za science, then utaona kuwa wala huhitaji derivation to work this out...


Hahahaha! Hommie, kijana wangu anataka umpruvie kwa ENGINEERING SCIENCE!
 
Hahahaha! Hommie, kijana wangu anataka umpruvie kwa ENGINEERING SCIENCE!
excactly!
itabidi twende kwa THEORY TU ILI HOJA ZOTE ZIENDANE NA wanajf wote!...

ANY THEORY WILL BE ESTABLISHED AFTER A SERIES OF EXIPERIMENTS,DERIVATIONS AND FINDINGS!

tumieni four figures,scientific calculators,nendeni libraries then mje kutetea hoja
 

:ranger::ranger::ranger::ranger:
 

Unaonaje ukitu-prove wrong SCIENTIFICALLY?
 


..... Confidence,mental strength,self esteem[low/high].......those 3 criteria will determine your fate in this kind of relationship.......
 

i tender to differ brother!...
mimi sijaona kilicho wazi hapa

sanasana naiona taswira ya ''mwendelezo wa mfumo-dume kwa mbaaaali''
 
Hahahaha! Hommie, kijana wangu anataka umpruvie kwa ENGINEERING SCIENCE!
Hadi aone test tyubu ndo aamini....kuna siku atafumaniwa halafu atadai 'scientific proof' ya hilo fumanizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…