Mwanamke anayejiweza kimaisha

Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
kaizer & the co ltd.....
naomba scientific derivation ya ''uwepo wa madhara kwenye mahusiano/ndoa wakati wahusika/wanandoa wanapozidiana kipato...''.you clarify it in total!PLEASE
ON THE VERY SERIOUS NOTE:i need a scientific prove:coffee::coffee::coffee:
 
kaizer & the co ltd.....
naomba scientific derivation ya ''uwepo wa madhara kwenye mahusiano/ndoa wakati wahusika/wanandoa wanapozidiana kipato...''.you clarify it in total!PLEASE

ON THE VERY SERIOUS NOTE:i need a scientific prove:coffee::coffee::coffee:


haha mpwa naona bado upo kwenye masuala ya harufu za infidelity


labda tuanze kwanza hebu tuambie science ni nini na kuna aina ngapi za science, then utaona kuwa wala huhitaji derivation to work this out...
 
Unajua mi siwaelewi hawa wanaume kabisa. Mnataka mwanamke awe chini siku zote akae akiwategemea nyie tu hata kama kaolewa. hiyo haipo. Kama mwanamke ana kazi nzuri anaishi maisha standard anajiheshimu then go for her hata kama wewe bado misheni town. Lakini sio mniambie kuwa hatajakaa aolewe kwa sababu mambo yake yako safi..............come on people you need to change that attitude you got in your minds aiseee hatutajakaa tuendelee kama itakuwa hivyo tu

Hapo Kwenye Nyekundu ndipo balaa ilipo na ndio chanzo cha hayo yooooote ya wanawake wenye uwezo kutoolewa au kukimbiwa, hapo kwenye Nyekundu mwanzo yanakuwa mawazoni tu, lakini mwisho wa siku unamtamkia mtu live,
 
haha mpwa naona bado upo kwenye masuala ya harufu za infidelity


labda tuanze kwanza hebu tuambie science ni nini na kuna aina ngapi za science, then utaona kuwa wala huhitaji derivation to work this out...
unaona sasa!.......
 
kaizer & the co ltd.....
naomba scientific derivation ya ''uwepo wa madhara kwenye mahusiano/ndoa wakati wahusika/wanandoa wanapozidiana kipato...''.you clarify it in total!PLEASE

Team, kumbe na wewe ni Tomaso?

Hebu imagine, mke wako mlikuwa class moja, halafu yeye akaibuka na GPA ya 4.5 wakati wewe umetoka ukichechemea na 2.9. Hata ukimzidi kipato utakuwa na amani siku zote? Hutawaza kwamba kuna siku vuvuzela zinaweza kung'aa akukumbusha ulivyokuwa kiazi darasani? Au ikitokea anamfudisha mtoto wenu ambaye naye nondo hazipandi kama wewe, na akaanza kumumwagia matusi; wewe utabaki bila kuguswa? Ukijibu hapo nitakupa mfano mwingine kama bado unataka kushika vidonda ili uamini!
 
Hapo Kwenye Nyekundu ndipo balaa ilipo na ndio chanzo cha hayo yooooote ya wanawake wenye uwezo kutoolewa au kukimbiwa, hapo kwenye Nyekundu mwanzo yanakuwa mawazoni tu, lakini mwisho wa siku unamtamkia mtu live,

hivi atatamkiwa tu bila kisa?..na nikikutamkia c nakuambia ukweli wako, nakumbuka ndugu yangu yeye alifanya kimtimua kabisa mume ndani coz alimfumania, nikufumanie unaishi chini ya paa langu nililolitolea jasho then nishindwe kufanya la kufanya ili iweje....
 
Team, kumbe na wewe ni Tomaso?

Hebu imagine, mke wako mlikuwa class moja, halafu yeye akaibuka na GPA ya 4.5 wakati wewe umetoka ukichechemea na 2.9. Hata ukimzidi kipato utakuwa na amani siku zote? Hutawaza kwamba kuna siku vuvuzela zinaweza kung'aa akukumbusha ulivyokuwa kiazi darasani? Au ikitokea anamfudisha mtoto wenu ambaye naye nondo hazipandi kama wewe, na akaanza kumumwagia matusi; wewe utabaki bila kuguswa? Ukijibu hapo nitakupa mfano mwingine kama bado unataka kushika vidonda ili uamini!
mkuu,
as for me NOT SATISFACTORY....!
kwanini....!kwasababu i have seen it happening to the people i live with!mdogo wangu(causin sister) ni very bright na pia she was in the TOP FIVE STUDENTS wa tz form six ya 2005.amesoma compyuter engineering kwa mukandara hapo...!she is married to jamaa ambae ni mwalimu tena wale wa CRUSH PROGRAMME!....three yrs now,two kids!!...THEY ARE REALLY HAPPY SO FAR!

hata hivyo mkuuu dc(i need a scientific derivation)
 
Team, kumbe na wewe ni Tomaso?

Hebu imagine, mke wako mlikuwa class moja, halafu yeye akaibuka na GPA ya 4.5 wakati wewe umetoka ukichechemea na 2.9. Hata ukimzidi kipato utakuwa na amani siku zote? Hutawaza kwamba kuna siku vuvuzela zinaweza kung'aa akukumbusha ulivyokuwa kiazi darasani? Au ikitokea anamfudisha mtoto wenu ambaye naye nondo hazipandi kama wewe, na akaanza kumumwagia matusi; wewe utabaki bila kuguswa? Ukijibu hapo nitakupa mfano mwingine kama bado unataka kushika vidonda ili uamini!


mkuu hapo anataka 'sayansi'....
 
ON THE VERY SERIOUS NOTE:i need a scientific prove:coffee::coffee::coffee:
Scientific proof mpaka kwenye ndoa? Dah! wahandisi bana!

mkuu,
as for me NOT SATISFACTORY....!
kwanini....!kwasababu i have seen it happening to the people i live with!mdogo wangu(causin sister) ni very bright na pia she was in the TOP FIVE STUDENTS wa tz form six ya 2005.amesoma compyuter engineering kwa mukandara hapo...!she is married to jamaa ambae ni mwalimu tena wale wa CRUSH PROGRAMME!....three yrs now,two kids!!...THEY ARE REALLY HAPPY SO FAR!

hata hivyo mkuuu dc(i need a scientific derivation)
Three years? You just give it time. Miaka mitatu mbado wanalala huku wamekumbatiana. Subiri watakapozoeana kisawa sawa na fedha kushika nafasi yake. Hapo pia nazungumzia uzoefu, sihitaji kuulizwea swali
 
Scientific proof mpaka kwenye ndoa? Dah! wahandisi bana!

Three years? You just give it time. Miaka mitatu mbado wanalala huku wamekumbatiana. Subiri watakapozoeana kisawa sawa na fedha kushika nafasi yake. Hapo pia nazungumzia uzoefu, sihitaji kuulizwea swali
defend your theory SCIENTIFICALLY!:typing::typing:
 
mkuu hapo anataka 'sayansi'....

Angekuwa bado yupo yupo, ningemwambie yeye aende tu ahalafu aje atueleze. Hakuna haja ya kuwa Guinea pia kwani kila kitu kiko wazi tu. Hakuna mtu anapenda kuishi maisha ambayo yuko insecure. Na mbaya sana tena sana mwanamume (halafu wa ki-Afrika) akiwa na inferiority complex. Ni hatari kuliko ukoma. Ndo maana sisi (kwa mambo yote ambayo tumeyaona, sufficient to be more scientific), tunawashauri wadogo zetu wasijaribu ku-cross boundary za mambo muhimu ya kijamii. Kama hawataki basi, lakini wasije kusema kuwa hatukuwaeleza.
 
haha mpwa naona bado upo kwenye masuala ya harufu za infidelity


labda tuanze kwanza hebu tuambie science ni nini na kuna aina ngapi za science, then utaona kuwa wala huhitaji derivation to work this out...


Hahahaha! Hommie, kijana wangu anataka umpruvie kwa ENGINEERING SCIENCE!
 
Hahahaha! Hommie, kijana wangu anataka umpruvie kwa ENGINEERING SCIENCE!
excactly!
itabidi twende kwa THEORY TU ILI HOJA ZOTE ZIENDANE NA wanajf wote!...

ANY THEORY WILL BE ESTABLISHED AFTER A SERIES OF EXIPERIMENTS,DERIVATIONS AND FINDINGS!

tumieni four figures,scientific calculators,nendeni libraries then mje kutetea hoja
 
hivi atatamkiwa tu bila kisa?..na nikikutamkia c nakuambia ukweli wako, nakumbuka ndugu yangu yeye alifanya kimtimua kabisa mume ndani coz alimfumania, nikufumanie unaishi chini ya paa langu nililolitolea jasho then nishindwe kufanya la kufanya ili iweje....

:ranger::ranger::ranger::ranger:
 
excactly!
itabidi twende kwa THEORY TU ILI HOJA ZOTE ZIENDANE NA wanajf wote!...

ANY THEORY WILL BE ESTABLISHED AFTER A SERIES OF EXIPERIMENTS,DERIVATIONS AND FINDINGS!

tumieni four figures,scientific calculators,nendeni libraries then mje kutetea hoja

Unaonaje ukitu-prove wrong SCIENTIFICALLY?
 
wandugu za leo,

hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

Kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.

Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? Na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? Mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. Zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika


..... Confidence,mental strength,self esteem[low/high].......those 3 criteria will determine your fate in this kind of relationship.......
 
Angekuwa bado yupo yupo, ningemwambie yeye aende tu ahalafu aje atueleze. Hakuna haja ya kuwa Guinea pia kwani kila kitu kiko wazi tu. Hakuna mtu anapenda kuishi maisha ambayo yuko insecure. Na mbaya sana tena sana mwanamume (halafu wa ki-Afrika) akiwa na inferiority complex. Ni hatari kuliko ukoma. Ndo maana sisi (kwa mambo yote ambayo tumeyaona, sufficient to be more scientific), tunawashauri wadogo zetu wasijaribu ku-cross boundary za mambo muhimu ya kijamii. Kama hawataki basi, lakini wasije kusema kuwa hatukuwaeleza.

i tender to differ brother!...
mimi sijaona kilicho wazi hapa

sanasana naiona taswira ya ''mwendelezo wa mfumo-dume kwa mbaaaali''
 
Hahahaha! Hommie, kijana wangu anataka umpruvie kwa ENGINEERING SCIENCE!
Hadi aone test tyubu ndo aamini....kuna siku atafumaniwa halafu atadai 'scientific proof' ya hilo fumanizi.
 
Back
Top Bottom