Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
hehehe!
mi sio strerring as you can see everybody is on my face!...lakin hawajui wanachokibishia
kawaida ya stering anakuwa anapigana na majamaa kibao halaf mwisho anashinda . go teamo gooo:horn::horn:
 
mimi sijaona ninapoikubali journal mpaka sasa!
forget about the formulaz na intergration stuff...!
strait to the fact SIJAIKUBALI JOURNAL

labda uuthibitishie umma kuwa journal ni hansad za vikao vya baa au magazeti ya shigongo!
topic imekaa hivi
Re: Mwanamke anayejiweza kimaisha-


na mimi nasema hivi:
hakuna swala la kujiweza kwenye mapenzi...!
provided mnapendana mnaenda tu mpaka mwisho

journal zinasemaje?
 
Hapa tunajadili journals au wanawake wenye hela zao?

BTW leo tunakamatana kwa Viki, Esther, Mary, au kwa mshikiz?? Jibu haraka, nataka kuweka OVADRAIVU hapa!!
:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
 
Hapa tunajadili journals au wanawake wenye hela zao?

BTW leo tunakamatana kwa Viki, Esther, Mary, au kwa mshikiz?? Jibu haraka, nataka kuweka OVADRAIVU hapa!!
hehehe aspirin bana! hapa leo niko na ugoro wa azebeijan. tukirudi kwenye topik hata sijui nichangie nini , naona sredi haieleweki kama nyimbo za kandabongo man.
 
kawaida ya stering anakuwa anapigana na majamaa kibao halaf mwisho anashinda . go teamo gooo:horn::horn:
hehehe!
ngoja nitoke nje ya ofisi nikaaaaaa:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
 
hehehe aspirin bana! hapa leo niko na ugoro wa azebeijan. tukirudi kwenye topik hata sijui nichangie nini , naona sredi haieleweki kama nyimbo za kandabongo man.
ULE WA ALAJI ALAJI ALAJI UNAUELEWA MWANACHAMA MWENZANGU WA TIBA? Halafu kuna mtu anaitwa kwinini humu ndani anataka kuyaingilia maslahi yako dhidi ya malaria
 
ULE WA ALAJI ALAJI ALAJI UNAUELEWA MWANACHAMA MWENZANGU WA TIBA? Halafu kuna mtu anaitwa kwinini humu ndani anataka kuyaingilia maslahi yako dhidi ya malaria
hehehe nimemripoti tayari kwenye pharmacy za afrika mashariki na kati, naandaa albamu la antivirus dhidi yake. chorus itawekwa na mwanakijiji.
 
.


suala la muhimu hapo si uwezo wa wachumba kiuchumi bali ni upendo wa dhati,dhamila ya na nia ya kweli ya kuanzisha familia yenye upendo na mshikamano
 
hehehe nimemripoti tayari kwenye pharmacy za afrika mashariki na kati, naandaa albamu la antivirus dhidi yake. chorus itawekwa na mwanakijiji.
Hiyo vita nitakuwa upande wako! mkong'ote za usoni afu mi simpi pain killer!!
 
Hiyo vita nitakuwa upande wako! mkong'ote za usoni afu mi simpi pain killer!!
heheheh lazima uoneshe uzalendo wa CCP (chama cha pharmacy)! nimegonga senksi ili kuashiria umoja na ushirikiano kwa tableti zetu
 
Asprin bwana! Mbona mnata kumnyanyapaa mwanamke!

Hivi asisome mpaka uwezo wake utakapomfikisha kwa kuhofia kukosa mume ?

Hivi hata Kama ana uwezo wa kutafuta pesa asiitafute kisa mume?

We soma, faranga zisake after all who said ni lazima uolewe. Hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini mwanamke anaolewa? Ukifuatilia vizuri kwenye lugha zetu karibia zote za ki-tz na kiafriaka for that matter utaona kuwa mwanamke anaolewa,......Akili kumkichwa hapo.
 
nimeipenda hii!....
tunarudi kule kule....!
DOMINANCE
 
lakini wadau pesa na mali ni material things tu kinachomatter ni mapenzi ya kweli kati ya hao watu wawili na ofcourse tabia nzuri isiyo na manyanyaso na maringo.

Hiyo ya Asprin kwamba mtu mwenye phd aolewe na mwenye phd bado sijaikubali
Unajua JS ukifuatilia mambo kwa ukaribu hapa duniani utaona kuwa at one point or another it is all about power, hapo ndiyo tatizo linapoanzia.
 
Unajua JS ukifuatilia mambo kwa ukaribu hapa duniani utaona kuwa at one point or another it is all about power, hapo ndiyo tatizo linapoanzia.
nail it pal!
lakini hoja inayorud mezani ni kwamba:
''tumezoea kuona wanawake wakiwa overpowered!the way i see it NOW ni kwamba pesa ni moja ya vigezo mtambuka vya kuendeleza mfumo huo ''DUME''...''
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…