Mwanamke andika neno BLUETOOTH, mwanaume reply CONNECTED, mwanamke kama umemwelewa jamaa reply SUCCESSFFULLY

Mwanamke andika neno BLUETOOTH, mwanaume reply CONNECTED, mwanamke kama umemwelewa jamaa reply SUCCESSFFULLY

Kuna Jamaa wa JF Wana Madem zao JF...

Sasa hapa wanakaziana macho kama mjusi , ole wakoooo ole wakoooo ole wakoo.


Maselaaaaaa Maisha mafupi, msiwe serious sanaaaaa Wajubaaa [emoji23][emoji23]

Hii ni Happy Christmas

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unamuogopa?
Hamna sasa swali la nampenda nani ntajibu vip hapa hadharani? watu wa haki za binadam watanichukuliaje kama nikisema nakupenda wewe ye Darlin atajiskiaje? Au nikisema nampenda Darlin wewe utajiskiaje si ntakua nimevunja haki za kibinadam na wakati tunaambiwa tupendane hata makanisani na msikitin.
Hilo swali njoo nikujibu PM na Darlin ntamjibu Pm
 
Hamna sasa swali la nampenda nani ntajibu vip hapa hadharani? watu wa haki za binadam watanichukuliaje kama nikisema nakupenda wewe ye Darlin atajiskiaje? Au nikisema nampenda Darlin wewe utajiskiaje si ntakua nimevunja haki za kibinadam na wakati tunaambiwa tupendane hata makanisani na msikitin.
Hilo swali njoo nikujibu PM na Darlin ntamjibu Pm
🫣🫣🫣
 
Back
Top Bottom