Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Kwann unapenda kuumiza moyo wangu?Not successful
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann unapenda kuumiza moyo wangu?Not successful
Unampenda Darlin siwapendi woteKwann unapenda kuumiza moyo wangu?
Hata navyoandika tu hauhisi kuwa naandika kutoka moyoni ni jinsi gan nakupenda sana?Unampenda Darlin siwapendi wote
Tatizo ni kua😔Tutapata date za kumalizia mwaka, haya twende kazi...
Sema JF Bluetooth ziko chache sana
Kuna Jamaa wa JF Wana Madem zao JF...
Sasa hapa wanakaziana macho kama mjusi , ole wakoooo ole wakoooo ole wakoo.
Maselaaaaaa Maisha mafupi, msiwe serious sanaaaaa Wajubaaa [emoji23][emoji23]
Hii ni Happy Christmas
Na mvua hii eti kirisimasi tunakatiwa maji kwahiyo wanataka nikinge nje au ? Nini maana ya kuishi mjini?
Anyway...............
Bluetooth
😆😆😆😆acha basi jamaniiiiiNawaona nawaona
ChitakiiiiAnakupenda wewe jaman
Nimewaaachia😆😆😆😆acha basi jamaniiiii
Unamuogopa?Si nlikukataza kumuita kwann sasa unamuita?
Hamna sasa swali la nampenda nani ntajibu vip hapa hadharani? watu wa haki za binadam watanichukuliaje kama nikisema nakupenda wewe ye Darlin atajiskiaje? Au nikisema nampenda Darlin wewe utajiskiaje si ntakua nimevunja haki za kibinadam na wakati tunaambiwa tupendane hata makanisani na msikitin.Unamuogopa?
🫣🫣🫣Hamna sasa swali la nampenda nani ntajibu vip hapa hadharani? watu wa haki za binadam watanichukuliaje kama nikisema nakupenda wewe ye Darlin atajiskiaje? Au nikisema nampenda Darlin wewe utajiskiaje si ntakua nimevunja haki za kibinadam na wakati tunaambiwa tupendane hata makanisani na msikitin.
Hilo swali njoo nikujibu PM na Darlin ntamjibu Pm
Lakn mi najua we unajua
Chitaaaaki chitaakLakn mi najua we unajua
Oyaaa wee Jamaaa, niaje ? Upooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]