Mwanamke atakayenitongoza ndiye atakayenivumilia

Mwanamke atakayenitongoza ndiye atakayenivumilia

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nishatongoza Sana wadada Na bado tukaachana.sikuwahi kufikiria Kama nitakuja kukosa mke wa kuoa kwani wadogo zangu wengi tu wanaishi na wake zao na Wana watoto tayari.labda kwa sababu Mimi nilikuwa shule muda mrefu, nimechagua wengi naona hatuendani.

Mpaka sasa hivi sijapata mwanamke hata mmoja ambaye walau hata tumetambulishana kwa ndugu Kama wachumba.kazi ninayo yenye kunipa hela walau ya kula Mimi na mke wangu Ila ndo hivyo sipati mchumba ambaye tutadumu uchumbani hata miezi sita tu. Najiulizaga nyie ambao mmeoana mliwekanaje ndani mlijikuta tu ndani au mlikubaliana huko nje kwamba aje aanze kulala na wewe Kama mke na mume.

Yaani sielewi kabisa sijui ndo corona imeharibu system za maisha Sina hakika Kama bado watu wanapata wachumba na kuoa nimechoka mapenzi ya Sasa hivi sio ya kweli tunawindana.natamani mtoto ila sitaki atoke nje ya ndoa yaani nataka mke wangu ndo anizalie watoto Na niishi naye maishani.

Nikasemaga labda nianze kwenda kanisani huenda nikapata mke mzuri ila huko kanisan nikawa nikitongoza wananikataa.nikitongoza wa mtaani nawapata ila ndo machepele sitaki hata kusex nao bila condom kwa sababu sitaki kuzaa nao (wengi Ni single maza).

Mwisho nimeamua tu kutulia Sasa hv niwe msafi wa roho na mwili(sijisifu Bali biblia hasa nyaraka za kina Paulo kwa makanisa inanisaidia sana kila navyozidi kuisoma na kuielewa bidii zinaongezeka na Ni kwa neema tu ya mwenyeziMungu).Na nimepata maono kuwa mke wangu atakuja kwa stlye ya kunitongoza yeye yaani atakuja mwanamke huyo Ana sifa zote Tena anaweza akawa Ni bikra kabisa huyo ndo tutakwenda naye pamoja atanitamkia waziwazi kuwa ananipenda na anahitaji niwe mumewe. Amina.
 
Ishu Ni kumpata mtu mnayeendana naye..hao wanyuma Wengi wame prove failure wamekuwa wajanja Sana wame ni blacklist hata online siwaoni Tena wamesha log off ..mapenzi ya Sasa hayana uwiano

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo hawa wanawake wa mjini watakusumbua sana. Manake hata ukisema umsubiri huyo wa kujileta mwenyewe atakuwa na mapungufu mengi sana.....

So anatafuta pa kufia......endelea kutongoza yule ambae utaona ana uelekeo mpige mimba fasta......
mengine yanafatia
 
Wanaume wenzangu hili sio swala lakuview kucoment na kulike, mwenzetu yupo Tutani na anahitaji msaada, Nakumbuka enzi zetu tulikua tunabeba wanadada juu juu na kwenda kumbwaga kwa mshikaji, yeye ni kazi kwake kumshuughulikia kwa mwezi na baada ya hapo tunapeleka posa kwa familia ya Binti.
 
Wanaume wenzangu hili sio swala lakuview kucoment na kulike, mwenzetu yupo Tutani na anahitaji msaada, Nakumbuka enzi zetu tulikua tunabeba wanadada juu juu na kwenda kumbwaga kwa mshikaji, yeye ni kazi kwake kumshuughulikia kwa mwezi na baada ya hapo tunapeleka posa kwa familia ya Binti.

Aaahahahahha loooh umenikumbusha mbaliiii.....!!!😅😅😅

Nakumbuka nilinusurika kubebwa, aliyeniokoa ni binamu yangu alikuja nyumbani kama katumwa na malaika.

Akasema Kasinde nna njaa naomba nipikie ugali na nswalu. Hapo karanga hadi nizisage kwenye jiwe unga hadi niutwange kwenye kinu. Na nilikiwa najiandaa kwenda kuchota maji.....

Utii wangu wa kumuandalia chakula binamu ndo uliniokoa kumbe vijana walijibanza wanibebe wanipeleke kwa jamaa halafu baada ya siku mbili walete zizi la ng’ombe nyumbani...

Hadi namaliza kumpikia binamu ilikuwa giza lishaingia sikwenda tena kuchota maji. Nilikuja kuambiwa baadae na rafiki zake kaka zangu ...!😄
 
Kuna kabinti flani hivii, kanatabia nzuriiii halafu kako nachuro.

Ngoja nikaelekeze ulivyo na ulipo kakutongoze.

Sina hakika kama ni kabikra ila ni kalutheri.

Wape hai hapo makao makuu [emoji4].

Ukipata tubinti tuwili nkoi nigawia kamoja.
 
Hahahahahaha...ndoto imetimia mkuu niko hapa mkeo wa maisha ila sasa sio bkira ata kidgo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ila kidgo na mimi nimeshituka kwa nini mabinti wachamungu wakukate na ukubaliwe na wamitaan ten maaingo mother

Tupia picha ya kidole tu twende sawa,me napendaga mwanaume mwenye kucha nzuri ...
 
Aaahahahahha loooh umenikumbusha mbaliiii.....!!![emoji28][emoji28][emoji28]

Nakumbuka nilinusurika kubebwa, aliyeniokoa ni binamu yangu alikuja nyumbani kama katumwa na malaika.

Akasema Kasinde nna njaa naomba nipikie ugali na nswalu. Hapo karanga hadi nizisage kwenye jiwe unga hadi niutwange kwenye kinu. Na nilikiwa najiandaa kwenda kuchota maji.....

Utii wangu wa kumuandalia chakula binamu ndo uliniokoa kumbe vijana walijibanza wanibebe wanipeleke kwa jamaa halafu baada ya siku mbili walete zizi la ng’ombe nyumbani...

Hadi namaliza kumpikia binamu ilikuwa giza lishaingia sikwenda tena kuchota maji. Nilikuja kuambiwa baadae na rafiki zake kaka zangu ...![emoji1]
Aiseeeeh hatareeeh sanaaah
 
Kuna kabinti flani hivii, kanatabia nzuriiii halafu kako nachuro.

Ngoja nikaelekeze ulivyo na ulipo kakutongoze.

Sina hakika kama ni kabikra ila ni kalutheri.

Wape hai hapo makao makuu [emoji4].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila bibi wee lol
 
Kuna kabinti flani hivii, kanatabia nzuriiii halafu kako nachuro.

Ngoja nikaelekeze ulivyo na ulipo kakutongoze.

Sina hakika kama ni kabikra ila ni kalutheri.

Wape hai hapo makao makuu [emoji4].
Kasie please nakuomba mama mkubwa Niko serious nimechoka kuwa mwenyewe hako hata Kama sitaki kanitongoze nipe namba nianze Mimi tujaribu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahaha...ndoto imetimia mkuu niko hapa mkeo wa maisha ila sasa sio bkira ata kidgo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ila kidgo na mimi nimeshituka kwa nini mabinti wachamungu wakukate na ukubaliwe na wamitaan ten maaingo mother

Tupia picha ya kidole tu twende sawa,me napendaga mwanaume mwenye kucha nzuri ...
SI mbaya
JPEG_20210306_122631_6296429903112592233.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom