Mwanamke atakayenitongoza ndiye atakayenivumilia

Mwanamke atakayenitongoza ndiye atakayenivumilia

Na nimepata maono kuwa mke wangu atakuja kwa stlye ya kunitongoza yeye yaani atakuja mwanamke huyo Ana sifa zote Tena anaweza akawa Ni bikra kabisa huyo ndo tutakwenda naye pamoja

Hili la Bikira kwa sasa achana nalo mkuu,, zingatia tu binti atakayekutongoza
 
Kuna kabinti flani hivii, kanatabia nzuriiii halafu kako nachuro.

Ngoja nikaelekeze ulivyo na ulipo kakutongoze.

Sina hakika kama ni kabikra ila ni kalutheri.

Wape hai hapo makao makuu [emoji4].
Nilengeshee mimi nikatongoze mwenyewe huyu yeye anasubiria atongozwe
 
Hahahahahaha...ndoto imetimia mkuu niko hapa mkeo wa maisha ila sasa sio bkira ata kidgo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ila kidgo na mimi nimeshituka kwa nini mabinti wachamungu wakukate na ukubaliwe na wamitaan ten maaingo mother

Tupia picha ya kidole tu twende sawa,me napendaga mwanaume mwenye kucha nzuri ...
Unataka kuangalia kama yaliyomo yamo?
 
Kama ulikuwa mchezeaji wanawake utakuwa ushapishana nae mkeo huko. Kuwa mpole utapata asie wako.
 
Aaahahahahha loooh umenikumbusha mbaliiii.....!!!😅😅😅

Nakumbuka nilinusurika kubebwa, aliyeniokoa ni binamu yangu alikuja nyumbani kama katumwa na malaika.

Akasema Kasinde nna njaa naomba nipikie ugali na nswalu. Hapo karanga hadi nizisage kwenye jiwe unga hadi niutwange kwenye kinu. Na nilikiwa najiandaa kwenda kuchota maji.....

Utii wangu wa kumuandalia chakula binamu ndo uliniokoa kumbe vijana walijibanza wanibebe wanipeleke kwa jamaa halafu baada ya siku mbili walete zizi la ng’ombe nyumbani...

Hadi namaliza kumpikia binamu ilikuwa giza lishaingia sikwenda tena kuchota maji. Nilikuja kuambiwa baadae na rafiki zake kaka zangu ...!😄
Niambie binti wa Tabora kwa wajanja😅
 
Aaahahahahha loooh umenikumbusha mbaliiii.....!!![emoji28][emoji28][emoji28]

Nakumbuka nilinusurika kubebwa, aliyeniokoa ni binamu yangu alikuja nyumbani kama katumwa na malaika.

Akasema Kasinde nna njaa naomba nipikie ugali na nswalu. Hapo karanga hadi nizisage kwenye jiwe unga hadi niutwange kwenye kinu. Na nilikiwa najiandaa kwenda kuchota maji.....

Utii wangu wa kumuandalia chakula binamu ndo uliniokoa kumbe vijana walijibanza wanibebe wanipeleke kwa jamaa halafu baada ya siku mbili walete zizi la ng’ombe nyumbani...

Hadi namaliza kumpikia binamu ilikuwa giza lishaingia sikwenda tena kuchota maji. Nilikuja kuambiwa baadae na rafiki zake kaka zangu ...![emoji1]
Nimekaa na huyu demu almost 3 years but I'm done.

  • Ni mpole sana kwa kumwangalia tu hata anavozungumza
  • Hajui make up wala mkorogo
  • Anasali sana na nyimbo anazosikiliza ni za dini tu
  • Hana mambo mengi sijui atoke aende disco sijui kwa marafiki. Ana ghetto lake lina kila kitu na anafanya kazi. Akitoka kazini anarudi kulala.
  • Ni msiri sana hata kwa mambo ambayo angetakiwa ayafahamu mtu wake.

Yaaani ukibahatika kukutana nae, ndani ya week lazima utangaze ndoa.

Kilicho nichosha.
  • Ni muongo muongo sana. Akikueleza kitu kichukue asilimia 50% zingine changanya na zako.
  • Ni mbinafsi sana, chake ni chake lakini changu ni cha wote.
  • Anapenda kufanya vitu kipekepeke yake. Atakushirikisha akipeleza pesa za kufanya hilo jambo, napo utaambiwa robo ya ukweli
  • Simu yake ukishika utazimia, wanaume humo wamepangwa utafikiri danguro.

Inshort nataka nikushauri kuhusu kumwangalia MTU kwa nje na kumrefer kwa MTU mwingine, sio dili kabisa kwasababu mwisho wa siku tabia binafsi za mtu zinabaki kuwa too personal, hadi akae na muhusika wajuane ndio atangundua yaliyomo kama yamo au lah.
 
Back
Top Bottom