Mwanamke atakayenitongoza ndiye atakayenivumilia

Mwanamke atakayenitongoza ndiye atakayenivumilia

Kuna kabinti flani hivii, kanatabia nzuriiii halafu kako nachuro.

Ngoja nikaelekeze ulivyo na ulipo kakutongoze.

Sina hakika kama ni kabikra ila ni kalutheri.

Wape hai hapo makao makuu 😊.
Si urahisishe kwa kumpa jamaa namba basi??
 
Hahahahahaha...ndoto imetimia mkuu niko hapa mkeo wa maisha ila sasa sio bkira ata kidgo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ila kidgo na mimi nimeshituka kwa nini mabinti wachamungu wakukate na ukubaliwe na wamitaan ten maaingo mother

Tupia picha ya kidole tu twende sawa,me napendaga mwanaume mwenye kucha nzuri ...
😂 😂 😂
 
Hahahahha hyo inatosha mkuu
We nae si uende ukatongozwe na jamaa. Mbona mnakuwa na visababu sababu visivyo na kichwa wala miguu.
Sasa unakataa kwenda , una mume wewe, umeolewa, unafamilia, una mji wako?!

Unajuaje labda ndio yeye?!

Mabinti wa miaka hii utadhani wanalaana vile matabia yao..... Wanakera...... Msyuuuuuuuu shenzi ......
 
Nimekaa na huyu demu almost 3 years but I'm done.

  • Ni mpole sana kwa kumwangalia tu hata anavozungumza
  • Hajui make up wala mkorogo
  • Anasali sana na nyimbo anazosikiliza ni za dini tu
  • Hana mambo mengi sijui atoke aende disco sijui kwa marafiki. Ana ghetto lake lina kila kitu na anafanya kazi. Akitoka kazini anarudi kulala.
  • Ni msiri sana hata kwa mambo ambayo angetakiwa ayafahamu mtu wake.

Yaaani ukibahatika kukutana nae, ndani ya week lazima utangaze ndoa.

Kilicho nichosha.
  • Ni muongo muongo sana. Akikueleza kitu kichukue asilimia 50% zingine changanya na zako.
  • Ni mbinafsi sana, chake ni chake lakini changu ni cha wote.
  • Anapenda kufanya vitu kipekepeke yake. Atakushirikisha akipeleza pesa za kufanya hilo jambo, napo utaambiwa robo ya ukweli
  • Simu yake ukishika utazimia, wanaume humo wamepangwa utafikiri danguro.

Inshort nataka nikushauri kuhusu kumwangalia MTU kwa nje na kumrefer kwa MTU mwingine, sio dili kabisa kwasababu mwisho wa siku tabia binafsi za mtu zinabaki kuwa too personal, hadi akae na muhusika wajuane ndio atangundua yaliyomo kama yamo au lah.
Huyo nguruwe wako anafanana na nguruwe nilishawahi kuwa nayo kipindi Fulani. Mbwa yule popote alipo ajing'ate vibaya na atoke damu kabisa muda huu maana namuongelea vibaya.
 
Nishatongoza Sana wadada Na bado tukaachana.sikuwahi kufikiria Kama nitakuja kukosa mke wa kuoa kwani wadogo zangu wengi tu wanaishi na wake zao na Wana watoto tayari.labda kwa sababu Mimi nilikuwa shule muda mrefu, nimechagua wengi naona hatuendani.

Mpaka sasa hivi sijapata mwanamke hata mmoja ambaye walau hata tumetambulishana kwa ndugu Kama wachumba.kazi ninayo yenye kunipa hela walau ya kula Mimi na mke wangu Ila ndo hivyo sipati mchumba ambaye tutadumu uchumbani hata miezi sita tu. Najiulizaga nyie ambao mmeoana mliwekanaje ndani mlijikuta tu ndani au mlikubaliana huko nje kwamba aje aanze kulala na wewe Kama mke na mume.

Yaani sielewi kabisa sijui ndo corona imeharibu system za maisha Sina hakika Kama bado watu wanapata wachumba na kuoa nimechoka mapenzi ya Sasa hivi sio ya kweli tunawindana.natamani mtoto ila sitaki atoke nje ya ndoa yaani nataka mke wangu ndo anizalie watoto Na niishi naye maishani.

Nikasemaga labda nianze kwenda kanisani huenda nikapata mke mzuri ila huko kanisan nikawa nikitongoza wananikataa.nikitongoza wa mtaani nawapata ila ndo machepele sitaki hata kusex nao bila condom kwa sababu sitaki kuzaa nao (wengi Ni single maza).

Mwisho nimeamua tu kutulia Sasa hv niwe msafi wa roho na mwili(sijisifu Bali biblia hasa nyaraka za kina Paulo kwa makanisa inanisaidia sana kila navyozidi kuisoma na kuielewa bidii zinaongezeka na Ni kwa neema tu ya mwenyeziMungu).Na nimepata maono kuwa mke wangu atakuja kwa stlye ya kunitongoza yeye yaani atakuja mwanamke huyo Ana sifa zote Tena anaweza akawa Ni bikra kabisa huyo ndo tutakwenda naye pamoja atanitamkia waziwazi kuwa ananipenda na anahitaji niwe mumewe.Amina
Huyo mwanamke siyo baby Nai kweli? Kamata weka ndani....
 
We nae si uende ukatongozwe na jamaa. Mbona mnakuwa na visababu sababu visivyo na kichwa wala miguu.
Sasa unakataa kwenda , una mume wewe, umeolewa, unafamilia, una mji wako?!

Unajuaje labda ndio yeye?!

Mabinti wa miaka hii utadhani wanalaana vile matabia yao..... Wanakera...... Msyuuuuuuuu shenzi ......
[emoji2960][emoji2960]kaka uliko amkia usilale tena umekuwa mchungu kama mshubiri mpka unashindwa zuia hasira jmnii
 
We nae si uende ukatongozwe na jamaa. Mbona mnakuwa na visababu sababu visivyo na kichwa wala miguu.
Sasa unakataa kwenda , una mume wewe, umeolewa, unafamilia, una mji wako?!

Unajuaje labda ndio yeye?!

Mabinti wa miaka hii utadhani wanalaana vile matabia yao..... Wanakera...... Msyuuuuuuuu shenzi ......

Mkuu punguza makhasiriko[emoji16]
 
S
Nishatongoza Sana wadada Na bado tukaachana.sikuwahi kufikiria Kama nitakuja kukosa mke wa kuoa kwani wadogo zangu wengi tu wanaishi na wake zao na Wana watoto tayari.labda kwa sababu Mimi nilikuwa shule muda mrefu, nimechagua wengi naona hatuendani.

Mpaka sasa hivi sijapata mwanamke hata mmoja ambaye walau hata tumetambulishana kwa ndugu Kama wachumba.kazi ninayo yenye kunipa hela walau ya kula Mimi na mke wangu Ila ndo hivyo sipati mchumba ambaye tutadumu uchumbani hata miezi sita tu. Najiulizaga nyie ambao mmeoana mliwekanaje ndani mlijikuta tu ndani au mlikubaliana huko nje kwamba aje aanze kulala na wewe Kama mke na mume.

Yaani sielewi kabisa sijui ndo corona imeharibu system za maisha Sina hakika Kama bado watu wanapata wachumba na kuoa nimechoka mapenzi ya Sasa hivi sio ya kweli tunawindana.natamani mtoto ila sitaki atoke nje ya ndoa yaani nataka mke wangu ndo anizalie watoto Na niishi naye maishani.

Nikasemaga labda nianze kwenda kanisani huenda nikapata mke mzuri ila huko kanisan nikawa nikitongoza wananikataa.nikitongoza wa mtaani nawapata ila ndo machepele sitaki hata kusex nao bila condom kwa sababu sitaki kuzaa nao (wengi Ni single maza).

Mwisho nimeamua tu kutulia Sasa hv niwe msafi wa roho na mwili(sijisifu Bali biblia hasa nyaraka za kina Paulo kwa makanisa inanisaidia sana kila navyozidi kuisoma na kuielewa bidii zinaongezeka na Ni kwa neema tu ya mwenyeziMungu).Na nimepata maono kuwa mke wangu atakuja kwa stlye ya kunitongoza yeye yaani atakuja mwanamke huyo Ana sifa zote Tena anaweza akawa Ni bikra kabisa huyo ndo tutakwenda naye pamoja atanitamkia waziwazi kuwa ananipenda na anahitaji niwe mumewe.Amina
Sjawah ona mtu anaota kwa kuandika . aya hv jiulize we una tatzo hao uliokwishaona ndo wana matatzo. Sku zote ukitafuta jijue na wewe una mapungufu kama walionao hao ambao unaona hawafai
 
Back
Top Bottom