Na nimepata maono kuwa mke wangu atakuja kwa stlye ya kunitongoza yeye yaani atakuja mwanamke huyo Ana sifa zote Tena anaweza akawa Ni bikra kabisa huyo ndo tutakwenda naye pamoja
Hahahahha hyo inatosha mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili la Bikira kwa sasa achana nalo mkuu,, zingatia tu binti atakayekutongoza
Wow! kucha nzuri aiseee
Hongera mkuu
Mmh wala ata sikuwa na mawazo hayo na sio mtaaramu wa hayo mambo[emoji28][emoji28]Vidole! Nilijua tu unataka kupima urefu wa dushe.[emoji85]
Hapana fanya kitu pleaseKuna kabinti flani hivii, kanatabia nzuriiii halafu kako nachuro.
Ngoja nikaelekeze ulivyo na ulipo kakutongoze.
Sina hakika kama ni kabikra ila ni kalutheri.
Wape hai hapo makao makuu [emoji4].
Nilengeshee mimi nikatongoze mwenyewe huyu yeye anasubiria atongozweKuna kabinti flani hivii, kanatabia nzuriiii halafu kako nachuro.
Ngoja nikaelekeze ulivyo na ulipo kakutongoze.
Sina hakika kama ni kabikra ila ni kalutheri.
Wape hai hapo makao makuu [emoji4].
Unataka kuangalia kama yaliyomo yamo?Hahahahahaha...ndoto imetimia mkuu niko hapa mkeo wa maisha ila sasa sio bkira ata kidgo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ila kidgo na mimi nimeshituka kwa nini mabinti wachamungu wakukate na ukubaliwe na wamitaan ten maaingo mother
Tupia picha ya kidole tu twende sawa,me napendaga mwanaume mwenye kucha nzuri ...
Kasie please nakuomba mama mkubwa Niko serious nimechoka kuwa mwenyewe hako hata Kama sitaki kanitongoze nipe namba nianze Mimi tujaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilengeshee mimi nikatongoze mwenyewe huyu yeye anasubiria atongozwe
Hapana mkuuUnataka kuangalia kama yaliyomo yamo?
Niambie binti wa Tabora kwa wajanja😅Aaahahahahha loooh umenikumbusha mbaliiii.....!!!😅😅😅
Nakumbuka nilinusurika kubebwa, aliyeniokoa ni binamu yangu alikuja nyumbani kama katumwa na malaika.
Akasema Kasinde nna njaa naomba nipikie ugali na nswalu. Hapo karanga hadi nizisage kwenye jiwe unga hadi niutwange kwenye kinu. Na nilikiwa najiandaa kwenda kuchota maji.....
Utii wangu wa kumuandalia chakula binamu ndo uliniokoa kumbe vijana walijibanza wanibebe wanipeleke kwa jamaa halafu baada ya siku mbili walete zizi la ng’ombe nyumbani...
Hadi namaliza kumpikia binamu ilikuwa giza lishaingia sikwenda tena kuchota maji. Nilikuja kuambiwa baadae na rafiki zake kaka zangu ...!😄
Niambie binti wa Tabora kwa wajanja😅
Nimekaa na huyu demu almost 3 years but I'm done.Aaahahahahha loooh umenikumbusha mbaliiii.....!!![emoji28][emoji28][emoji28]
Nakumbuka nilinusurika kubebwa, aliyeniokoa ni binamu yangu alikuja nyumbani kama katumwa na malaika.
Akasema Kasinde nna njaa naomba nipikie ugali na nswalu. Hapo karanga hadi nizisage kwenye jiwe unga hadi niutwange kwenye kinu. Na nilikiwa najiandaa kwenda kuchota maji.....
Utii wangu wa kumuandalia chakula binamu ndo uliniokoa kumbe vijana walijibanza wanibebe wanipeleke kwa jamaa halafu baada ya siku mbili walete zizi la ng’ombe nyumbani...
Hadi namaliza kumpikia binamu ilikuwa giza lishaingia sikwenda tena kuchota maji. Nilikuja kuambiwa baadae na rafiki zake kaka zangu ...![emoji1]
Jojo madeko wangu..Hahahahha hyo inatosha mkuu
Ata siendi uko rafiki yangu..[emoji3]Jojo madeko wangu..
Ukienda tu lazima akakunyandue kimasihara[emoji16][emoji16][emoji16]
#YNWA