Mwanamke atakayenitongoza ndiye atakayenivumilia

Kuna kabinti flani hivii, kanatabia nzuriiii halafu kako nachuro.

Ngoja nikaelekeze ulivyo na ulipo kakutongoze.

Sina hakika kama ni kabikra ila ni kalutheri.

Wape hai hapo makao makuu 😊.
Si urahisishe kwa kumpa jamaa namba basi??
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hahahahha hyo inatosha mkuu
We nae si uende ukatongozwe na jamaa. Mbona mnakuwa na visababu sababu visivyo na kichwa wala miguu.
Sasa unakataa kwenda , una mume wewe, umeolewa, unafamilia, una mji wako?!

Unajuaje labda ndio yeye?!

Mabinti wa miaka hii utadhani wanalaana vile matabia yao..... Wanakera...... Msyuuuuuuuu shenzi ......
 
Huyo nguruwe wako anafanana na nguruwe nilishawahi kuwa nayo kipindi Fulani. Mbwa yule popote alipo ajing'ate vibaya na atoke damu kabisa muda huu maana namuongelea vibaya.
 
Huyo mwanamke siyo baby Nai kweli? Kamata weka ndani....
 
[emoji2960][emoji2960]kaka uliko amkia usilale tena umekuwa mchungu kama mshubiri mpka unashindwa zuia hasira jmnii
 

Mkuu punguza makhasiriko[emoji16]
 
S
Sjawah ona mtu anaota kwa kuandika . aya hv jiulize we una tatzo hao uliokwishaona ndo wana matatzo. Sku zote ukitafuta jijue na wewe una mapungufu kama walionao hao ambao unaona hawafai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…