Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

badoo ipo maalum kwaajili hiyo! Sasa sijui wewe ulifata nini huko wakati unaulizwa maswali kabisa wakati unajiunga
 
Jamani naongea kwa machungu na masikitiko makubwa mno.

MKASA: Leo katika pekua pekua zangu mtandaoni nikasema ngoja nipitie mtandao wa badoo nijue nini kinaendelea huko...[emoji779] LAHAULA ile nimeingia nikasign in tu muda kidogo txt zina miminika nikajiuliza maswali huku mbona watu wakarimu hivi[emoji15] [emoji15] [emoji15] baada ya muda nikawa naulizwa vipi na kukaribishwa kula UBWABWA mnaweza kudhania natania ila kiukweli nimeshangaa sana, siyo mmoja tu bali kwa dakika kama 10 nikiwa on nimepata txt nne.

Nikasema ngoja nijue hasa interest yao hasa ni nini mpaka wameamua kujinadi hivyo cha ajabu wanatumia lugha ya ukarimu kuliko ata dada zetu. Kiukweli nimeogopa sana sikujua khali imefikia hapa wasiwasi wangu serikali inajua kinachoendelea??

Upande wa pili nao siyo haba biashara inaendelea eti, nimetoka nikiwa nimekata tamaaa kabisa kama vijana hasa wa kiume wameamua kujitoa kupikwa UBWABWA kwa idadi kubwa ile binafsi nimeogopa na kutambua taifa LIMEISHA BUNGULIWA KIASI CHA KUTOSHA JUHUDI ZA ZIADA ZINATAKIWA KIUKWELI.

Nipeni pole mwenzenu nimeigopa sana jamani sikujua kama tumefikia huku.
Unajua kukuza mambo,mm nipo mkuu mwaka wa watatu sasa,kama ukiitaji mpenzi unapata,ata marafiki,lakini sio kama unavyosema wewe,nawakaribisha wote mnaoitaji marafiki kutoka sehemu mbali mbali duniani,karibuni sana.
 
siwezi kukuambia hapa ila jibu ni kweli na miongoni mwao watakua wanapakuliwa pia.
Unajua nilikutaga stori ya malaya mmoja nikaisoma yote hakika ndo nikajua dunia inavyoenda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna mmoja mheshimiwa mwaka Jana hajapita wa mkoa Fulani ndo zake hizoo!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna mmoja mheshimiwa mwaka Jana hajapita wa mkoa Fulani ndo zake hizoo!!
Mkuu kama kuna kaukweli maana yule mayala alikua anasema alikua na kitambi halafu huyo demu alidhani ndie mchepuko pekee kumbe ana wenzie. Alisema alivyomfumania alikuta mzee anakula tiGO na yeye hakupoteza mda akaendelea kubanjuliwa na mzeev taratibu. Alisema amepiga pesa ndefu sana pale
 
Naona umeamua kuupa promo mtandao wa bado, kwan watu watajoin ili wajione wenyewe
 
Back
Top Bottom