Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Huko instagram kuna anaejiita james delicious ni hatari jaman tena kijana mdogo sana sijui ni malezi yanapelekea kuwa hivo au nin nachanganya sana yaaan saiv mtoto wa kiume kumfanya awe mwanaume kamili ni mtihani tuwaombee tu ndugu zetu warudi katka Hali ya kawaida
 
Nyie mnawaponda hao mashoga lakin madame wema sepenga anawapenda hao viumbe hadi kuwapost kwa page yake ya Ig 🙂
 
Nyie mnawaponda hao mashoga lakin madame wema sepenga anawapenda hao viumbe hadi kuwapost kwa page yake ya Ig 🙂
Huyo james delicious ni rafiki mkubwa wa wema nilvoambiwa Kama upo instagram hebu mcheck huyu mtu nkapitia post zake nkaona pic akiwa na sepetu huwa anaendaga nao sijui ni vibao kata sijui vigoma hatarii ndugu Mungu wetu tusaidie tuondokane na hili janga patia picha sasa nduguyo ndo shoga inaumiza jaman
 
Jamani naongea kwa machungu na masikitiko makubwa mno.

MKASA: Leo katika pekua pekua zangu mtandaoni nikasema ngoja nipitie mtandao wa badoo nijue nini kinaendelea huko...[emoji779] LAHAULA ile nimeingia nikasign in tu muda kidogo txt zina miminika nikajiuliza maswali huku mbona watu wakarimu hivi[emoji15] [emoji15] [emoji15] baada ya muda nikawa naulizwa vipi na kukaribishwa kula UBWABWA mnaweza kudhania natania ila kiukweli nimeshangaa sana, siyo mmoja tu bali kwa dakika kama 10 nikiwa on nimepata txt nne.

Nikasema ngoja nijue hasa interest yao hasa ni nini mpaka wameamua kujinadi hivyo cha ajabu wanatumia lugha ya ukarimu kuliko ata dada zetu. Kiukweli nimeogopa sana sikujua khali imefikia hapa wasiwasi wangu serikali inajua kinachoendelea??

Upande wa pili nao siyo haba biashara inaendelea eti, nimetoka nikiwa nimekata tamaaa kabisa kama vijana hasa wa kiume wameamua kujitoa kupikwa UBWABWA kwa idadi kubwa ile binafsi nimeogopa na kutambua taifa LIMEISHA BUNGULIWA KIASI CHA KUTOSHA JUHUDI ZA ZIADA ZINATAKIWA KIUKWELI.

Nipeni pole mwenzenu nimeigopa sana jamani sikujua kama tumefikia huku.
mbona mm sijaona iyo kitu huko badoo[emoji2] [emoji2]
 
mimi mbona naonaga wasichana wazuri tu wakinikaribisha tupige story.
Inategemea umejiungaje ulichagua marafiki wa kike tu hiyo unaletewa wa kike tu ungechagua wa kiume na kike wangekuja wote pia unaweza kuchagua wa kiume tu pia unaweza kuset wawe wa umri yani kati ya miaka gani
 
mie nilikwapua moja kwa badoo, unaambiwa papuchi ka domo la predator ile movie ya Arnold Schwazernegger, niliogopa nikasema leo nimeopoa jini, manake kwanza lilikataa taa kuwashwa mie nikafosi, daa kuja kuangalia papuchi ka domo la predotor duu, tangu hapo nikadelete kabisa account ya badoo, sipo tena
 
Back
Top Bottom