Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

BADOO hiyo ndio shughuli yake na bei unatajiwa watu wanajiuza live yaan ukiingia huko unaonekana na ww ndio walewale
Daah basi acha niwe humuhumu JF,maana naogopa kama jinamizi mamii,roho inenda mbio kama saa mbovu.
 
Kumbe ile taarifa eti Watanzania sijui wameshika nafasi ya"fote" kwa ukarimu sii kweli jombaa?!
 
mbona umepotea hivyo
Mrembo,mimi ni muuza karanga za kukaanga hapa katikati ya jiji la Dar,biashara imekuwa ngumu kipindi hichi cha Magufuli,
imebidi nifanye niongeze territory ingine ili kukuza soko,so nimeanza kuuza maeneo ya nje ya jiji pia(suburbs},kwa hiyo kwa siku nasukuma kitoroli changu kwa takriban 40 kilometers all round in a day ,hii naanza saa 11 alfajiri mpaka saa 1 jioni,nikirudi nyumbani hoi,yaani speed meter huwa imesoma sana kwa hiyo naanza kusinzia kabla sijaoga usiku.Naomba kazi niwe house boy wako au shamba boy,i promise to execute all my duties in the most efficient manner,thanks nawasilisha kwako mrembo the boss lady.
 
Mrembo,mimi ni muuza karanga za kukaanga hapa katikati ya jiji la Dar,biashara imekuwa ngumu kipindi hichi cha Magufuli,
imebidi nifanye niongeze territory ingine ili kukuza soko,so nimeanza kuuza maeneo ya nje ya jiji pia(suburbs},kwa hiyo kwa siku nasukuma kitoroli changu kwa takriban 40 kilometers all round in a day ,hii naanza saa 11 alfajiri mpaka saa 1 jioni,nikirudi nyumbani hoi,yaani speed meter huwa imesoma sana kwa hiyo naanza kusinzia kabla sijaoga usiku.Naomba kazi niwe house boy wako au shamba boy,i promise to execute all my duties in the most efficient manner,thanks nawasilisha kwako mrembo the boss lady.
sina uboss lady wowote mm mwenyewe house girl kwahyo tumekutana muuza karanga na house girl
 
Back
Top Bottom