ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Teh teh, 50K per goli. Hilo goli itabidi ulinywee mkuyati ili lichukue 1hr, at least litakuwa na 'value for money', otherwise ni hasara kama unapiga cha dk5.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh, 50K per goli. Hilo goli itabidi ulinywee mkuyati ili lichukue 1hr, at least litakuwa na 'value for money', otherwise ni hasara kama unapiga cha dk5.
Huko maneno ni noti hakuna kurembaHahahaaahaaaa, huko huwa hutongozi. Ni straight to the point, na Never pay in advance. Biashara ya huko ni Nipe Nikupe
Hakika, uzuri bila akili mwili hutumika.Kwa huo mwandiko tu, papuchi yake inapata shida sana!
Noma sana.Balaa tupu
Siku hizi biashara imehamia onlinemakubwa hayo!
[emoji15] [emoji15] [emoji15]View attachment 426988Huu ni mwonekano wa profile langu
Ila WADADA jamani wana mambo ya ajabu sana, mtu utakuta ameweka picha kama 20 lakini 10 za Porn kuziona anakwambia umlipe 10,000. Duh, jamani hz biashara
Mwenye kutaka Pesa azifate... Usimtumie mtu pesa hata kumuona hujawahi....Sitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067
Nyie vijana wa .com ni tabu sanaisee hii ni kweli na mimi nna experience na madada wa vyuo kama viwili hapa tz
Huyo wa Juu aliniambia anaishi kigamboni... akasema hawezi kuja hadi nitume nauli nikamuambia aje tu me nitamrejeshea pesa si tatizo kwangu akagoma eti mimi ndio mwenye Shida nikamuambia situmagi pesa mimi nikaona wale wale...kwenda.. Pole Sana you have to be very carefully na wanaoomba pesa kwanza... nipe nikupe ndio mwake mwake