Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,250
Hatari baba.Ukishaombwa pesa ujue hapo hakuna Business futa delete kabisa... Huko Kuna Mtu aliniungisha nikajikuta nimezamia dah Hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari baba.Ukishaombwa pesa ujue hapo hakuna Business futa delete kabisa... Huko Kuna Mtu aliniungisha nikajikuta nimezamia dah Hatari
kuna mwingine nilikiwa nachati nae nikajua dem kwa picha alizoweka za kike kumbe ni shoga,Ukishaombwa pesa ujue hapo hakuna Business futa delete kabisa... Huko Kuna Mtu aliniungisha nikajikuta nimezamia dah Hatari
Ha ha ha ha....I like JF
nitumie link ya Badoo nijiunge fastaJamani kuna mtandao unaitwa badoo,yani huko kuna malaya wa kutupwa,siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu,wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile.
Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana,nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana,yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
Waende tu huko,ni simple saanKwaiyo mleta mada unataka kusema wale wanaotafuta wapenzi humu waende BADOO?? [emoji28]
Mkuu we ingia kwenye playa store yako ukiasearch tu badoo unadownload,nitumie link ya Badoo nijiunge fasta
Vipi lakini mkuu za huko mwanza? Hatujawasiliana kitambo sanaKuna kipindi Fulani nilikua kwenye msongo wa mawazo baada ya kutendwa na niliempenda sasa hata kazini sikwenda nikaona nijiunge badoo ili niwe na refresh mind kwa kuchati na watu tofauti tofauti daaaaaa, nilitoka nduki huko maana nilitumiwa msg za kutosha mibaba ilijua imepata nyama mpya tena mingine ikataka niitumie picha za utupu yani nilishukuru maana kulikua na option ya kufuta akaunti ndo kilichoniokoa
Baada ya kuona wenye kuhitaji (wanaume) wapo, wauzaji na wanunuzi wamekutana!Kiukweli kabisa hawa dada zetu mtandao wa badoo washaugeuza sehemu ya biashara
Za mwanza nzuri kabisa mkuu habari za dar?Vipi lakini mkuu za huko mwanza? Hatujawasiliana kitambo sana
Dar kwema mkuu,karibu sana maana umejichimbia sana hukoZa mwanza nzuri kabisa mkuu habari za dar?
Asante sana, nawe karibu mwanza pia ule Sato na sangaraDar kwema mkuu,karibu sana maana umejichimbia sana huko
Ntakuja mkuu,nikija nitakwambia,ila njoo mjini uoshe macho bhana,uje upande na mabasi ya mwendokasiAsante sana, nawe karibu mwanza pia ule Sato na sangara
Nilikua huko mwezi uliopita Ila samahani sikukwambia na nimekaa huko Kama mwezi mmoja hivi next time nikija nitakutaarifu piaNtakuja mkuu,nikija nitakwambia,ila njoo mjini uoshe macho bhana,uje upande na mabasi ya mwendokasi