Tangu nimejiunga na huu mtandao na kuweka location wapi nilipo nimechat na wadada zaidi ya 50 na wote wananitumia namba na wengine nishakutana nao
Huko Badoo nimekutana na wamama hadi wa miaka 40-45 hawajaolewa wapo wapo tu nishawatongoza wameingia line na wengine wanataka nionane nao ila naamua kuwapotezea
Je huu mtandao ulitengenezwa special kwa ajili ya wanawake kujiuza na wanaume kutafuta wanawake wa kuwatia?
Mademu wakali wakali wamejaa kule ila ndo karibia wote wanaonekana ni Malaya tu.
Ramadan Kareem!!