Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Kwani wa mtandaoni wanatoka sayari nyingine?
Si ndio hawa hawa tunapishana nao mitaani.
Wakuu

Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.

Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.

Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.

Waumin wa picha vuteni subra
 
Kuna mmoja wa badoo nimemtindua juzi ijumaa saa saba mchana, niambie wako yukoje isijekuwa tunashare, weka pic au namba nne za simu yake
 
ukiomba mkate huwezi kupewa nyoka ila mkate....kamaa anafaa oa tu.....ila ujipange tu
 
Back
Top Bottom