Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

***** wananiletea habari za kulipa sjui premium mademu wenyewe waizi unapanga nao mkutane wanasema uwatumie naul ukiwaambia Njoo nauli utaikuta hawaendelei kujibu text zako

Wakisema hawana nauli ya kuja kabisa nawaambiaga mpo wapi niwafate hao wanaiingia mitini dadekiii haliwi mtu ela yake

Huu mtandao umekuwa wa kiwizi wizi wakuu wenye kujua mtandao hauna Malaya wababaishaj Kama badoo aniambie basi
 
***** wananiletea habari za kulipa sjui premium mademu wenyewe waizi unapanga nao mkutane wanasema uwatumie naul ukiwaambia Njoo nauli utaikuta hawaendelei kujibu text zako

Wakisema hawana nauli ya kuja kabisa nawaambiaga mpo wapi niwafate hao wanaiingia mitini dadekiii haliwi mtu ela yake

Huu mtandao umekuwa wa kiwizi wizi wakuu wenye kujua mtandao hauna Malaya wababaishaj Kama badoo aniambie basi
Achana na malaya wa online, wewe nenda location kachague malaya hapo hutaambiwa kutuma nauli au hela ya kusukia
 
***** wananiletea habari za kulipa sjui premium mademu wenyewe waizi unapanga nao mkutane wanasema uwatumie naul ukiwaambia Njoo nauli utaikuta hawaendelei kujibu text zako

Wakisema hawana nauli ya kuja kabisa nawaambiaga mpo wapi niwafate hao wanaiingia mitini dadekiii haliwi mtu ela yake

Huu mtandao umekuwa wa kiwizi wizi wakuu wenye kujua mtandao hauna Malaya wababaishaj Kama badoo aniambie basi
Mi niliishawai kupelekwa na demu mpaka mbagala ndani ndani huko na demu wa badoo alafu kufika huko kazima simu da nili maindi nikafuta na app yenyewe nimechoma mafuta yangu bure na mark x inavyokunywa wese
 
Mi niliishawai kupelekwa na demu mpaka mbagala ndani ndani huko na demu wa badoo alafu kufika huko kazima simu da nili maindi nikafuta na app yenyewe nimechoma mafuta yangu bure na mark x inavyokunywa wese
Karibu TINDER
 
Ndo hvyo mkuu wakiona hutaki kutoma wanakueleza sehemu za uongo ukifika wanazima hata Mimi nimeifuta hio application
Nilikuwa na browsed ile ya Tanzania escort sema mademu wa kule ni kina tally hunter eti **** kwa masaa mawili laki moja nikaona huu ni uboya nikaachana nao ila wapo wakali kwelikweli
Mi niliishawai kupelekwa na demu mpaka mbagala ndani ndani huko na demu wa badoo alafu kufika huko kazima simu da nili maindi nikafuta na app yenyewe nimechoma mafuta yangu bure na mark x inavyokunywa wese
 
Wakuu

Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.

Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.

Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.

Waumin wa picha vuteni subra
 
Demu wa mtandaoni ndio huyo huyo wa mitaani ila hujakutana nae mtaani umekutana nae mtandaoni. Hebu eleza vigezo gani ulitumia kumchunguza hadi ukafikia conclusion hiyo?
Wakuu

Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.

Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.

Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.

Waumin wa picha vuteni subra
 
Oa tu...mademu wote mule ni makahaba, ila pia kahaba ni mwanadamu na anabadilika pia.

Kikubwa akiri kwako yeye ni kahaba akishafanya hvyo ni step kubwa sana ya yeye kuacha tabia yake hiyo.

Kila la kheri mkuu,uwavumilia wateja wake wa zamani kwa sasa
 
Wakuu

Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.

Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.

Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.

Waumin wa picha vuteni subra

Umemchunguza vitu gan na unamchunguzaje, tuanzie hapo kwanza
 
Ushauri wangu kwenu nyote, Kila mmoja wenu awe mwaminifu kwa mwenzake.
 
Wakuu

Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.

Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.

Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.

Waumin wa picha vuteni subra

Picha muhimu sana Mkuu
 
Back
Top Bottom