Mutha007
Senior Member
- May 27, 2018
- 166
- 345
umebadili avatar ya RonaldinhoAnaonekana muhuni huyu mleta mada. Mtu unayejiheshimu huwezi kumuita mwanamke demu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umebadili avatar ya RonaldinhoAnaonekana muhuni huyu mleta mada. Mtu unayejiheshimu huwezi kumuita mwanamke demu
Wahudumu wa mahotelini ukiwa na SHEKELI UCHAWI WA MZUNGU PESA UNAWABATUA..BAHAMEDI KWENYE BAR PESA YAKO.MABINTI USWAHILINI WAKE ZA WATU ILIMRADI WAZIPENDE PESA WANATWANGWA...WATOTO WA USHUANI UKIWAPATIA WANAPIGWA...KWA HIYO WALIO WENGI WANATAFUNWA MZEEUnataka awe na account wapi?
anaweza akakufaa ila pia mnaweza kugombana na kuachana hata kabla ya kukutanaWakuu
Huyu demu nimemchunguza vya kutosha kitabia na mienendo yake kwa ujumla na sasa nimejiridhisha pasipo chembe ya mashaka kuwa huyu ndiye atakayenifaa maishani.
Kitu ambacho bado kinachonitatiza huyu dem nimemtoa mtandaoni.
Wakuu naomben uzoef wenu. Hawa warembo wa huku badoo wanaweza kufaa kwa matumiz endelevu kweli? coz naona nyuz nyngi hapa ni za kuwadis.
Waumin wa picha vuteni subra
Vipi ulikuwa unaipenda? Niirudishe.umebadili avatar ya Ronaldinho
irudishe buddah..,ile ilikuwa inaendana na username.Vipi ulikuwa unaipenda? Niirudishe.
[emoji3]Kweli aisee yule jamaa aliwa troublemaker haswaa.irudishe buddah..,ile ilikuwa inaendana na username.
Ulimpata wapi sio sababu ya msingi, binti kuwa mwaminifu. Uaminifu n tabia ya mtu. Unaweza mpata kanisan na akawa Malaya.
Mkuu.. hii inawezekanaje hii?Oa tu...mademu wote mule ni makahaba, ila pia kahaba ni mwanadamu na anabadilika pia.
Kikubwa akiri kwako yeye ni kahaba akishafanya hvyo ni step kubwa sana ya yeye kuacha tabia yake hiyo.
Kila la kheri mkuu,uwavumilia wateja wake wa zamani kwa sasa
Mkuu.kila mtu ana vigezo vyake.hata wew nna hakika unavyo.Umemchunguza vitu gan na unamchunguzaje, tuanzie hapo kwanza
Kumbuka Kunguru hafugiki
Eti eeh!!?..kwaiyo nisonge mbele mzee baba?Kwani wa mtandaoni wanatoka sayari nyingine?
Si ndio hawa hawa tunapishana nao mitaani.
Mbn kawaida tuNeno demu silipendi
Haahaa..Anaonekana muhuni huyu mleta mada. Mtu unayejiheshimu huwezi kumuita mwanamke demu
Mkuu sasa nan atawaowa kama kila mmoja atawakwepa?Badoo wenzio tunakaza na kuishia kama umeamua kuoa ni maamuzi yako
[emoji23][emoji23][emoji23]kwann ?Imekaa kihuni sana
Mkuu unatuhakikishia huku kuna malaika au?SNap Chat,Instgram na Facebook basi.
Haahhaa...hamna banaKuna mtu karogwa tayari hapa
JF=siasa.Badoo ni mtandao 100% target ni kujiuza au kununua Malaya!! JF mademu wengi wenye milengo ya kisiasa ndio wanaojiunga wachache sana ambao hawana mlengo wa kisiasa.
Haahaa alikuwa huko kitambo sio saivKuna mmoja wa badoo nimemtindua juzi ijumaa saa saba mchana, niambie wako yukoje isijekuwa tunashare, weka pic au namba nne za simu yake