Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

badoo ipo maalum kwaajili hiyo! Sasa sijui wewe ulifata nini huko wakati unaulizwa maswali kabisa wakati unajiunga
 
Unajua kukuza mambo,mm nipo mkuu mwaka wa watatu sasa,kama ukiitaji mpenzi unapata,ata marafiki,lakini sio kama unavyosema wewe,nawakaribisha wote mnaoitaji marafiki kutoka sehemu mbali mbali duniani,karibuni sana.
 
siwezi kukuambia hapa ila jibu ni kweli na miongoni mwao watakua wanapakuliwa pia.
Unajua nilikutaga stori ya malaya mmoja nikaisoma yote hakika ndo nikajua dunia inavyoenda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna mmoja mheshimiwa mwaka Jana hajapita wa mkoa Fulani ndo zake hizoo!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna mmoja mheshimiwa mwaka Jana hajapita wa mkoa Fulani ndo zake hizoo!!
Mkuu kama kuna kaukweli maana yule mayala alikua anasema alikua na kitambi halafu huyo demu alidhani ndie mchepuko pekee kumbe ana wenzie. Alisema alivyomfumania alikuta mzee anakula tiGO na yeye hakupoteza mda akaendelea kubanjuliwa na mzeev taratibu. Alisema amepiga pesa ndefu sana pale
 
Naona umeamua kuupa promo mtandao wa bado, kwan watu watajoin ili wajione wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…