Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Ukishaombwa pesa ujue hapo hakuna Business futa delete kabisa... Huko Kuna Mtu aliniungisha nikajikuta nimezamia dah Hatari
kuna mwingine nilikiwa nachati nae nikajua dem kwa picha alizoweka za kike kumbe ni shoga,
 
badoo ni mtandao ulioanzishwaa esp kwa ajili ya kutafuta mpenzi na sio wa kuchat na kwa asilimiaa 90 sio mtandao wa mastaraight bali ni mtandao wa magasho so mtu usilalamike kama ww ni straight alafu upo badoo jiandae kutongozwa na wanaume wenzio 24hrs manake naona watu wananalamika kutextiwa ukishaingiaa badoo jua ww ndo wale wale wa mlango wa uwani...sio kila mtandao wa kudandiaa ulizeni kwanza hata wasichana wanaojiuza nao hauwahusu.....
 
kule badoo mwanamke anakupm mwenyewe na anakueleza atakacho then mkamalizane
 
nitumie link ya Badoo nijiunge fasta
 
Vipi lakini mkuu za huko mwanza? Hatujawasiliana kitambo sana
 
Ntakuja mkuu,nikija nitakwambia,ila njoo mjini uoshe macho bhana,uje upande na mabasi ya mwendokasi
Nilikua huko mwezi uliopita Ila samahani sikukwambia na nimekaa huko Kama mwezi mmoja hivi next time nikija nitakutaarifu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…