Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Kuweka picha za Watu si sawa JF ishakuwa kama ZEUtamu Website
Naunga mkono hoja. kama kulikua kuna ulazima wa kuweka picha ya mtu basi walau hata sura ikatwe au izibwe. sio vizuri kabisa kuanika watu hapa ukizingatia jf Ina member wengi ndugu zao wa karibu wanaweza kupita hapa wakaona. Mods/ na aliweka picha zao fanyeni utaratibu wa kuziondoa
 
Naunga mkono hoja. kama kulikua kuna ulazima wa kuweka picha ya mtu basi walau hata sura ikatwe au izibwe. sio vizuri kabisa kuanika watu hapa ukizingatia jf Ina member wengi ndugu zao wa karibu wanaweza kupita hapa wakaona. Mods/ na aliweka picha zao fanyeni utaratibu wa kuziondoa
Kwani C wanauza kweli, sasa yanini tuzibe picha[emoji19] [emoji19]
 
Nakunawadada na wamama waukweli tatizo lao gharama alafu wengine ma TP miwameshanipiga zaidi ya mara 4 wanakwambia nitumie nauli dadadeki ukishamtumia tu andika maumivu
 
Wapigaji ni wengi sana kule.....kama hawatakupiga kwa gea ya kusuka basi watakupiga katika nauli, japo wapo wanaofanya biashara kwa uaminifu.
Kuna mshikaji aliambiwa kuwa gari haina mafuta nitumie 20 ili tukutane sehemu waliyopanga na akatuma baada ya kutuma mwanamke akajifanya amefika wakati mshikaji bado hajafika akaambiwa nitumie 10 ya kula na 40 nichukue chumba unikute jamaa akashtuka baadae anamwambia na kuja mwanamke akamjibu nimeisha sepa siwezi kukaa kwenye gari na njaa hahahaaa jamaa 20 ikawa imeenda
 
Kuna mshikaji aliambiwa kuwa gari haina mafuta nitumie 20 ili tukutane sehemu waliyopanga na akatuma baada ya kutuma mwanamke akajifanya amefika wakati mshikaji bado hajafika akaambiwa nitumie 10 ya kula na 40 nichukue chumba unikute jamaa akashtuka baadae anamwambia na kuja mwanamke akamjibu nimeisha sepa siwezi kukaa kwenye gari na njaa hahahaaa jamaa 20 ikawa imeenda
Hahaaa pole yake....bora alishtuka.....angeombwa zaid na zaid
 
Back
Top Bottom