shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
Wa dom umepga sana unaweza kuta tumeshareHa ha ha huyo Dada arudishe hela ya watu mkuu me pia ni mdau wa badoo inaonekana hao wa dar wanawasumbua sana huko Dom oya oya tuu watoto wa kirangi na kinyaturu anakuja ghetto mwenyewe na bodaboda inalipiwa akishafika
Namba yake ninayo nikupe? Kazi nzuri niliwahi ikuta na K-Y[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kila siku anabadili profile huyo japo jina ni lile lile MONICA
Kumbe ndio wewe? Ile ni profile yangu[emoji15] [emoji15]Hapana!! Alihitaji tu mtu wa kumfariji kimawazo!!!
Hahaha!Kumbe ndio wewe? Ile ni profile yangu[emoji15] [emoji15]
hahahahaha umenifurahisha jamani
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kweli kabisa mkuuNaona wameambizana bei yao ianzie 40 [emoji12] [emoji12] [emoji12] maana mpaka sasa walio kwenye list kama wanne hivyo same price
Alivyokuwahi, utasema alikuwa anakusubiri umuanze [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] labda kweli njaa ilikuwa inamuumahuko watu wanatangaza njaa zaidi ya Somalia
aaah aaah aaah nafikiri huwa wameshajiandaa kabisa, ukimsalimia tu ndio hapo hapo, hawacheleweshi!Alivyokuwahi, utasema alikuwa anakusubiri umuanze [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] labda kweli njaa ilikuwa inamuuma
Inamaana na wale tuliokwisha wat...mba sio wenyewe au?Wengi mnaoliwa pesa zenu ni washamba. Hakuna mtu anayetapeli kwa kutumia picha yake mwenyewe, hata kujiuza mtu hajiuzi hovyo hovyo. Matapeli huchukua picha za watu kutoka facebook, instagram na kwingineko halafu wanajifanya ndio wao. Kuna mpaka kina serena williams ana jina la kibongo! Acheni kuzileta hapa hizo picha ikiwa uliishia kutuma pesa tu na hukukutana laivu na mwenye picha. Mnachafua watu bure.
Itakuwa nimemuona badoo, kaja kweli lakini nimegonga fisi! Yaani HYENA!!![emoji30] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Inamaana na wale tuliokwisha wat...mba sio wenyewe au?
Sitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067
Hiyo 20elfu ya mafuta inaitwa kuingiza mguu ili utoe huo mguu ndio ilikuwa hiyo elfu 10 na hiyo ya chumba!!! Mkuu yaani ni balaa.Kuna mshikaji aliambiwa kuwa gari haina mafuta nitumie 20 ili tukutane sehemu waliyopanga na akatuma baada ya kutuma mwanamke akajifanya amefika wakati mshikaji bado hajafika akaambiwa nitumie 10 ya kula na 40 nichukue chumba unikute jamaa akashtuka baadae anamwambia na kuja mwanamke akamjibu nimeisha sepa siwezi kukaa kwenye gari na njaa hahahaaa jamaa 20 ikawa imeenda