Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

84fe3db1c77112166789d558c4d150be.jpg

Hiyo 40 sijui wanaambiana [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wengi mnaoliwa pesa zenu ni washamba. Hakuna mtu anayetapeli kwa kutumia picha yake mwenyewe, hata kujiuza mtu hajiuzi hovyo hovyo. Matapeli huchukua picha za watu kutoka facebook, instagram na kwingineko halafu wanajifanya ndio wao. Kuna mpaka kina serena williams ana jina la kibongo! Acheni kuzileta hapa hizo picha ikiwa uliishia kutuma pesa tu na hukukutana laivu na mwenye picha. Mnachafua watu bure.
 
Wengi mnaoliwa pesa zenu ni washamba. Hakuna mtu anayetapeli kwa kutumia picha yake mwenyewe, hata kujiuza mtu hajiuzi hovyo hovyo. Matapeli huchukua picha za watu kutoka facebook, instagram na kwingineko halafu wanajifanya ndio wao. Kuna mpaka kina serena williams ana jina la kibongo! Acheni kuzileta hapa hizo picha ikiwa uliishia kutuma pesa tu na hukukutana laivu na mwenye picha. Mnachafua watu bure.
Inamaana na wale tuliokwisha wat...mba sio wenyewe au?
 
Sitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067

[emoji23][emoji23]
 
Kuna mshikaji aliambiwa kuwa gari haina mafuta nitumie 20 ili tukutane sehemu waliyopanga na akatuma baada ya kutuma mwanamke akajifanya amefika wakati mshikaji bado hajafika akaambiwa nitumie 10 ya kula na 40 nichukue chumba unikute jamaa akashtuka baadae anamwambia na kuja mwanamke akamjibu nimeisha sepa siwezi kukaa kwenye gari na njaa hahahaaa jamaa 20 ikawa imeenda
Hiyo 20elfu ya mafuta inaitwa kuingiza mguu ili utoe huo mguu ndio ilikuwa hiyo elfu 10 na hiyo ya chumba!!! Mkuu yaani ni balaa.
 
Back
Top Bottom