Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Ngoja kwanza atupe break ijumaa hii sio siku ya kuwaza vitu kama hvyo
Atanifanya nikanywe pombe huyu kanitia mawazo kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Ndivyo ilivyo ukiweka picha bandia lazima uweke yenye mvuto....

Mwisho wa siku mtoto anazimika nayo kumbe wewe mwenyewe humfikii hata robo uliyemweka badoo, hapo lazima akate video call
Hats kama no mm siwez endelea, mvutu nao unasaidia Ghana mutu Ku cum faster
 
Nitaweka picha yangu na uyo nilimuweka badoo mlinganishe the mniambie kwann amekata mawasiliano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…