Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Siku hizi nasikia makahaba wana style Moja hivi...wanakula deal na reception so wanakuwa wanajua Nan kaingia single then ndo hvyo wanaigizaaa....so bro acha hzo mambo
 
Salaam wakuu,
Eeh bwana juzi nilikuwa na safari ambayo ilinitaka nitoke mkoani then nije DSM ndio nisafiri, sasa nikafikia lodge moja maeneo ya airport. Mida ya kama alasiri hivi nikiwa nimejipumzisha nikasikia mlango unagongwa ile kufungua nikakutana na demu akataka kuingia wakati simjui... Alivyoona namshangaa akauliza we si "xxxxx "!? Haraka haraka nikajua huyu hajui amekuja kukutana na nani nikamjibu YES! Akaingia nikajilia mzigo wala hata hana maswali ya kutaka kujua kama aliyekutana naye ni yeye au laah! Moja kwa moja nikajua huyu atakuwa alipanga apointment na jamaa yake through BADOO tuu... mitandao ya kijamii kwakweli ni shiiiiiiida.
Kama hujatunga basi wacha nikupe hongera.
 
Zama hizi sio za kuokota Apple chini ya mchungwa ndugu.. Mwanamke imara ajilegez, ukumbuke kwenda kuchek afya yako pia
 
Back
Top Bottom