Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Hahahaa, ukafikiri wa badoo kumbe wewe ndo umekuwa badoooo
 
Huyo anayeliwa na mtu asiyemjua..... naye ana ujasiri gani mjukuu wangu? Hata hajali huyo mtu ni jamii mbwa Au punda....ukichaa hauchagui jinsia mjukuu wangu!
Kwahiyo babu unataka kusema kuwa waliokutana wote walikuwa ni....
 
Ila siye WATZ ni wanafiki Sana. Mtoa mada kashambuliwa weeee. Ila nafsi zetu zinatusuta nana zinatofautia. Ndo maana ule uzi wa aliyewahi kufanya mapenzi sehemu hatarishi mpaka leo unachangiwa na una viewers wa kutosha
 
Mtakuja kugegeda majini aisee
Kwani jini kitu gani? Kama anayo anagegedwa fresh tu, atajijua mwenyewe na ujini wake[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Kitaa kuna wanyama Njoo uone vicheche ukiweza tembeza rungu kama comrade Kipepe.
 
Back
Top Bottom