Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Unampenda mwanamke ambae hamjawah kuonana hapo kuna upendo au Kaole Sanaa GroupEti na mimi nimempenda WTF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unampenda mwanamke ambae hamjawah kuonana hapo kuna upendo au Kaole Sanaa GroupEti na mimi nimempenda WTF
Huo sijui wazimu au kichaaUnampenda mwanamke ambae hamjawah kuonana hapo kuna upendo au Kaole Sanaa Group
Ngoja kwanza atupe break ijumaa hii sio siku ya kuwaza vitu kama hvyoHuo sijui wazimu au kichaa
Atanifanya nikanywe pombe huyu kanitia mawazo kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja kwanza atupe break ijumaa hii sio siku ya kuwaza vitu kama hvyo
Ha ha ha ha umeona enhee embu fanya tukapunguze mawazo kwa kwel am so stressedAtanifanya nikanywe pombe huyu kanitia mawazo kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua na chat na msichana kama wiki hivi akawa ananimwagia utamu wake wote kwenye watsap na sex story ambazo zimeniingia kisawasawa kichwani mwangu sasa shughuli ilikuja akawa anataka tufanye video sex hapo ndipo nilipoanza kupatwa na mashaka. Nilimkwepa siku kadhaa lakini nikaiingia kwenye mtego.
Kupokea amekutana na mtu tofauti na aliyemuona kwenye Badoo hapohapo akakata simu na saivi hataki mawasiliano na mimi, nimejaribu kupiga simu sana, kutuma meseji nyingi bila ya kupata majibu. Nisaidieni wana JF huyu mwanamke nimempenda ingawa hatujawahi kuonana sijui nifanyeje sasa.
Nilijaribu kumwambia mimi sipendi kuweka picha yangu halisi kwasababu siko sirias kukutana na mtu yoyote just chat tu wewe ndio wa mwanzo ambae nimetegemea tukutane lakini ananiambia hawezi kuniamini tena.
Nisaidieni ili nimrudishe kwenye imani yake ya mwanzo na huyu sio wale maneno mawili anakwambia shida.
Hahahahahha haki vilelHa ha ha ha mwisho wake huwa sio mzur unashangaa kitu haiimbi mungu ibarik
Hats kama no mm siwez endelea, mvutu nao unasaidia Ghana mutu Ku cum fasterNdivyo ilivyo ukiweka picha bandia lazima uweke yenye mvuto....
Mwisho wa siku mtoto anazimika nayo kumbe wewe mwenyewe humfikii hata robo uliyemweka badoo, hapo lazima akate video call
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Halafu eti kampenda mfanya biashara wa badoo ana utani sana na moyo wake.
Hahahaha hivi mwanaume kuwa na mvuto ni kuwa na sura nzuri au body yake?Hats kama no mm siwez endelea, mvutu nao unasaidia Ghana mutu Ku cum faster
Atakuwa anacheza Biko huyoTuma pesa tu mkuu kila asubuhi tuma pesa mchana tuma pesa usiku tuma pesa endelea hivyo kwa week 3 utaleta mrejesho
Penzi la kwenye simu???? Budaa acha ufalaNimempenda huyu msichana ana penzi tamu sana
Ufala vipi nyinyi wanawake mnatofautianaPenzi la kwenye simu???? Budaa acha ufala
Ufala anao mwanaumeUfala vipi nyinyi wanawake mnatofautiana