Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Nilikua na chat na msichana kama wiki hivi akawa ananimwagia utamu wake wote kwenye watsap na sex story ambazo zimeniingia kisawasawa kichwani mwangu sasa shughuli ilikuja akawa anataka tufanye video sex hapo ndipo nilipoanza kupatwa na mashaka. Nilimkwepa siku kadhaa lakini nikaiingia kwenye mtego.

Kupokea amekutana na mtu tofauti na aliyemuona kwenye Badoo hapohapo akakata simu na saivi hataki mawasiliano na mimi, nimejaribu kupiga simu sana, kutuma meseji nyingi bila ya kupata majibu. Nisaidieni wana JF huyu mwanamke nimempenda ingawa hatujawahi kuonana sijui nifanyeje sasa.

Nilijaribu kumwambia mimi sipendi kuweka picha yangu halisi kwasababu siko sirias kukutana na mtu yoyote just chat tu wewe ndio wa mwanzo ambae nimetegemea tukutane lakini ananiambia hawezi kuniamini tena.

Nisaidieni ili nimrudishe kwenye imani yake ya mwanzo na huyu sio wale maneno mawili anakwambia shida.
 
Ndivyo ilivyo ukiweka picha bandia lazima uweke yenye mvuto....

Mwisho wa siku mtoto anazimika nayo kumbe wewe mwenyewe humfikii hata robo uliyemweka badoo, hapo lazima akate video call
Hats kama no mm siwez endelea, mvutu nao unasaidia Ghana mutu Ku cum faster
 
Nitaweka picha yangu na uyo nilimuweka badoo mlinganishe the mniambie kwann amekata mawasiliano
 
Back
Top Bottom