Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Hivi unawwzaje kutuma video ya uchi wako kwa mtu usiyemjua... je akipiga screan shot??
 
Yani wewe ni PENENGE Kweli,unampenda na kufall inlove na mwanamke wa BADOO??for https://jamii.app/JFUserGuide's sake have some sanity,ilo ni malaya MSONOBARI Mkubwa ww!
 
Ila badoo nako manina kama picha zako hazivutii replies utaziskia tu, warembo wanakupita ka hawakuoni na wanaokunotice ni 'wauza'
 
Salaam wakuu,
Eeh bwana juzi nilikuwa na safari ambayo ilinitaka nitoke mkoani then nije DSM ndio nisafiri, sasa nikafikia lodge moja maeneo ya airport. Mida ya kama alasiri hivi nikiwa nimejipumzisha nikasikia mlango unagongwa ile kufungua nikakutana na demu akataka kuingia wakati simjui... Alivyoona namshangaa akauliza we si "xxxxx "!? Haraka haraka nikajua huyu hajui amekuja kukutana na nani nikamjibu YES! Akaingia nikajilia mzigo wala hata hana maswali ya kutaka kujua kama aliyekutana naye ni yeye au laah! Moja kwa moja nikajua huyu atakuwa alipanga apointment na jamaa yake through BADOO tuu... mitandao ya kijamii kwakweli ni shiiiiiiida.
 
haaah
 

Hahaha
 
Usijisifu sana mkuu maana unaweza jua umepata kiazi kwenye matembele,kumbe umenunua kamba za viatu bila kujua pesa ya kiatu utaitoa wapi..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…