ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Hii ndio falsafa ya kina miss chaggaTuma pesa tu mkuu kila asubuhi tuma pesa mchana tuma pesa usiku tuma pesa endelea hivyo kwa week 3 utaleta mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio falsafa ya kina miss chaggaTuma pesa tu mkuu kila asubuhi tuma pesa mchana tuma pesa usiku tuma pesa endelea hivyo kwa week 3 utaleta mrejesho
Hii comment labda kwangu ni ya kufungulia mwaka 2018. Umewaza vizuri sana dah. Jesus!Umesamehewa dhambi zako, enenda kwa amani....
Vyote aiseeHahahaha hivi mwanaume kuwa na mvuto ni kuwa na sura nzuri au body yake?
Mnajipendelea sana nyie...Vyote aisee
Ndio raha ilobaki baada ya kutafuta hela zako ukatuliaMnajipendelea sana nyie...
haaahSalaam wakuu,
Eeh bwana juzi nilikuwa na safari ambayo ilinitaka nitoke mkoani then nije DSM ndio nisafiri, sasa nikafikia lodge moja maeneo ya airport. Mida ya kama alasiri hivi nikiwa nimejipumzisha nikasikia mlango unagongwa ile kufungua nikakutana na demu akataka kuingia wakati simjui... Alivyoona namshangaa akauliza we si "xxxxx "!? Haraka haraka nikajua huyu hajui amekuja kukutana na nani nikamjibu YES! Akaingia nikajilia mzigo wala hata hana maswali ya kutaka kujua kama aliyekutana naye ni yeye au laah! Moja kwa moja nikajua huyu atakuwa alipanga apointment na jamaa yake through BADOO tuu... mitandao ya kijamii kwakweli ni shiiiiiiida.
Salaam wakuu,
Eeh bwana juzi nilikuwa na safari ambayo ilinitaka nitoke mkoani then nije DSM ndio nisafiri, sasa nikafikia lodge moja maeneo ya airport. Mida ya kama alasiri hivi nikiwa nimejipumzisha nikasikia mlango unagongwa ile kufungua nikakutana na demu akataka kuingia wakati simjui... Alivyoona namshangaa akauliza we si "xxxxx "!? Haraka haraka nikajua huyu hajui amekuja kukutana na nani nikamjibu YES! Akaingia nikajilia mzigo wala hata hana maswali ya kutaka kujua kama aliyekutana naye ni yeye au laah! Moja kwa moja nikajua huyu atakuwa alipanga apointment na jamaa yake through BADOO tuu... mitandao ya kijamii kwakweli ni shiiiiiiida.
Usijisifu sana mkuu maana unaweza jua umepata kiazi kwenye matembele,kumbe umenunua kamba za viatu bila kujua pesa ya kiatu utaitoa wapi..!!!Salaam wakuu,
Eeh bwana juzi nilikuwa na safari ambayo ilinitaka nitoke mkoani then nije DSM ndio nisafiri, sasa nikafikia lodge moja maeneo ya airport. Mida ya kama alasiri hivi nikiwa nimejipumzisha nikasikia mlango unagongwa ile kufungua nikakutana na demu akataka kuingia wakati simjui... Alivyoona namshangaa akauliza we si "xxxxx "!? Haraka haraka nikajua huyu hajui amekuja kukutana na nani nikamjibu YES! Akaingia nikajilia mzigo wala hata hana maswali ya kutaka kujua kama aliyekutana naye ni yeye au laah! Moja kwa moja nikajua huyu atakuwa alipanga apointment na jamaa yake through BADOO tuu... mitandao ya kijamii kwakweli ni shiiiiiiida.
tena ilikuwa bonge la kampaniMkuu Una roho ngumu humjui hakujui Ila mzee baba ukapiga machine