long live my love
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,064
- 1,012
Mmmmmmmmmm!!! Itakua dangulo.Madawa ya kuuliwa wadudu wamalizao mazao shambani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmmmmmm!!! Itakua dangulo.Madawa ya kuuliwa wadudu wamalizao mazao shambani
mkuu wewe ni wa mkoani? sio mwanaume wa darBadoo ndio nini jamani? Tuelewesheni na sisi tujue, naona wote mnaonyesha mnajua wakati sisi wengine hola.
[emoji28][emoji28]Madawa ya kuuliwa wadudu wamalizao mazao shambani
Sio yule wanamfananisha na kina banana ana kipini hivikuna ile clip ya moyo mashine amelegeza machooo!!
halafu anaimba!
Dar Sio mkoa?mkuu wewe ni wa mkoani? sio mwanaume wa dar
Nahisi ndo yy nenda IG akaunti yake ni kaka poa![emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] halafu mijitu inawafolo maunty walee![emoji57] [emoji57] ptyuuuuuSio yule wanamfananisha na kina banana ana kipini hivi
Huyo ni bwabwa sio basha,raia wanampumulia kichogonndio kua mtu anaitwa james delicious ni bonge la basha hapa mjini halafu nahis atakua na ngoma maana kuna thread nilipata hizi habar
ni mkoa lkn tunazungumzia wa mkoa wa vijijiniDar Sio mkoa?
Kuna watu wanawapenda sana wanaume na mibaba ya maana tuNahisi ndo yy nenda IG akaunti yake ni kaka poa![emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] halafu mijitu inawafolo maunty walee![emoji57] [emoji57] ptyuuuuu
na ukiwaona huwezi amini yaani!Kuna watu wanawapenda sana wanaume na mibaba ya maana tu
Sawa mkuu, umeona nikijua hiyo badoo nitafaidi.ni mkoa lkn tunazungumzia wa mkoa wa vijijini
acha tuna ukiwaona huwezi amini yaani!
yaani watu na heshima zao Ila mambo yao hovyoo!!
nenda play store downlaod BADOO ukatongozwe mpk basi uchunwe weeh ukilud kwenu huna miaSawa mkuu, umeona nikijua hiyo badoo nitafaidi.
Naona na wengine wameanza kupanua biashara yao, wameanza kuhamia jf.mmoja sijui anaitwaga ray...nan vile sijui.
Nikikumbuka jina lake ntakwambia.usishangae
Unawezaje kudelete mkuu, hata mtu akikusearch asikuone?Delete hiyo account haraka
aiee muheshimiwa install hio app banakwani kujua kitu mpk uingie mm ata kuinstall app yake sijawai story zake kila siku zinaletwa humu